Hii hoja yako mbona umeikazania pasipo kuleta ushahidi wowote?suala siyo kukamiwa suala ni kikundi fulani cha wahuni kutembeza pesa kwenye vitimu huko ili simba wavunjwe pua na miguu
Dakika 180 tayari Simba wana majeruhi wasiopunguwa watatu ambao ni matokea ya Uchezaji m'baya wa matumizi ya Nguvu kwa wapinzani.Nimeona watu wengi wanasema kuwa simba wanakamiwa na timu ndogo kitu ambacho si kweli....
Kwenye ngao ya jamii nako Sumba alipokea kiasi gani ili kufungwa na Yanga?Wewe mtoa maada kilaza tu. Timu zinacheza kuumiza wachezaji unasema haijakamiwa?
Utaonyeshaje ubora huku unapigwa kiwiko mara uvunjwe mguu.
Yanga nayo timu ile inayofunga kwa Chupli chupli. Yule beki wa Kagera mlimpa muamala kama kawaida yenu.
Umemaliza kila kitu mzee babaKiukawaida timu ikiwa mbovu kila unayekutana nae unahisi anakamia
Simba ya msimu huu sio sawa na ya misimu iliyopita we ndo jiongeze au huangaliagi mechi zenu
Kabisa...Kiukawaida timu ikiwa mbovu kila unayekutana nae unahisi anakamia
Alisikika kolo mmoja kutoka viunga vya Umbumbumbini.Hah simba anaongoza ligi.Bad y sare ya biashara na yanga kushinda watu wakasema simba ndo basi tena na yanga wakajitangaza mabingwa.Mara paaap simba kashinda na kawa kileleni.Si ajabu akabaki hapo mpaka mwisho wa msimu
Hayo mamilioni kakodini vibaka wavamie kambi ya simba na kujeruhi wachezaji mnapoteza muda wenu bure tuAlisikika kolo mmoja kutoka viunga vya Umbumbumbini.