johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Timu ya Sevilla ya Spain itatua nchini tarehe 21/5/2019 na itacheza mechi moja dhidi ya Simba au Yanga.
Kitendawili kilichopo ni namna ya kuipata timu ya Tanzania maana Simba wanagoma kucheza na Yanga kwa sababu wana viporo vingi vya ligi lakini wanataka wao ndio wacheze na Sevilla kwa kuwa wana kikosi bora kuliko timu yoyote kwa sasa.
Yanga wanadai wao ndio wanaongoza ligi kwa sasa hivyo wanastahili kwa 100% kupewa fursa ya kucheza na Sevilla.
Tusubiri TFF itafanya maamuzi leo.
Maendeleo hayana vyama!
Kitendawili kilichopo ni namna ya kuipata timu ya Tanzania maana Simba wanagoma kucheza na Yanga kwa sababu wana viporo vingi vya ligi lakini wanataka wao ndio wacheze na Sevilla kwa kuwa wana kikosi bora kuliko timu yoyote kwa sasa.
Yanga wanadai wao ndio wanaongoza ligi kwa sasa hivyo wanastahili kwa 100% kupewa fursa ya kucheza na Sevilla.
Tusubiri TFF itafanya maamuzi leo.
Maendeleo hayana vyama!