Kumekua na malalamiko kutoka kwa Mo dewj (boss wa Simba sc) akisema kuwa Simba inahujumiwa na baadhi ya watu (viongozi).
Kwamba wanapewa pesa za usajili lakini hawatimizi (hawaifikii bajeti waliyopewa) na kusababisha kuleta wachezaji chini ya viwango (low quality players).
Sasa kaajiliwa MTU wa scouting je Ina maana Mo dewji kaamua kuwa serious na kuleta mapinduzi ya furaha kwa wanadimba??
Je hao viongozi wa Simba waliokuwa wanalalamikiwa na Mo dewji kuwa wanaihujumu Simba watatoa ushirikiano kwa huyo mtu wa scouting???
Nawasilisha.