Je, Simba SC tunalo la kujifunza kutoka kwa Yanga SC?

Sisi wanalunyasi hatuna muda wa kujadili mambo yasiyotufurahisha.
Tutajadili tunapofurahi kama kuchukua ngao ya jamii , kushiriki super league, kutoanzia hatua za awali za klabu bingwa Afrika ongeza na mengine hatutaki kusikia habari zenye ukakasi kuhusu timu yetu pendwa mara eti tuna la kujifunza kwa utopolo , tujifunze nini huko simba ni timu kubwa tutajifunza kwa wakubwa wenzetu kwenye super league.
 
Mbona wote wameingia kwny mfumo? Na uzuri wote wameshaonyesha checheee in Jakaya's voice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…