Je, Simba walikuwa wapi hadi Yanga anafikisha makombe 30?

Je, Simba walikuwa wapi hadi Yanga anafikisha makombe 30?

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Wakuu Leo nimelia sana Baada ya kufuatilia record za timu zenye makombe mengi ya Ligue na kuja kugundu kuwa Simba Wana makombe = 22........lkn wababe Yanga Wana makombe = 30 ......na ligi ilianza mwaka 1964

Nmeshtuka sana Hadi ghafla nmeanza kulia [emoji24][emoji24][emoji24].......Je makolo walikuwa wapi wakati Yanga wanabeba makombe 30

1712718253561.jpg

1712770831001.jpg
 
Back
Top Bottom