Ushindi wa jana wa simba wa magoli 5 dhidi ya Alliance umegubikwa na utata..Alliance waliingia uwanjani bila ya kocha wao mbwana makata ambaye alijiondoa kwenye benchi la ufundi mara baada ya viongozi wa Alliance kumuingilia katika masuala ya ufundi
Makata anadai alikuwa ameshaandaa game plan na line up ila dakika za mwisho viongozi wa alliance waliingia chumba cha kubadilishia nguo na kupanga kikosi chao na kumlazimisha kocha atumie kikosi hicho jambo lililomuudhi mwalimu huyo na kusepa zake hivyo mkurugenzi wa alliance alisimamia mechi hio akiwa kwenye bench la ufundi kama kocha
Mwisho wa siku simba iliibuka ushindi mnono wa magoli 5
Makata anadai alikuwa ameshaandaa game plan na line up ila dakika za mwisho viongozi wa alliance waliingia chumba cha kubadilishia nguo na kupanga kikosi chao na kumlazimisha kocha atumie kikosi hicho jambo lililomuudhi mwalimu huyo na kusepa zake hivyo mkurugenzi wa alliance alisimamia mechi hio akiwa kwenye bench la ufundi kama kocha
Mwisho wa siku simba iliibuka ushindi mnono wa magoli 5