Hii ni platform huru acha atumie bando lako atakavyo udikiteta wako peleka kwako.Wewe Jamaa huna tofauti na Lucas Mwashambwa huwa unapenda kuandika ujinga
Lucas mwashambwa yule ni mwanaharakati .... mzalendo [emoji23][emoji23]Wewe Jamaa huna tofauti na Lucas Mwashambwa huwa unapenda kuandika ujinga
Ila kweliHii ni platform huru acha atumie bando lako atakavyo udikiteta wako peleka kwako.
Na hana shida ya teuzi namba ni signature tuLucas mwashambwa yule ni mwanaharakati .... mzalendo [emoji23][emoji23]
Ngoja timu ianze kuzingua.....watamrudia tu Chama [emoji23][emoji23]Mimi najiuliza tu hivi wale mashabiki wake lialia waliokuwa wakimpambania humu jukwaani, wako wapi!!!
Enzi hizo kocha Robertinho akimuacha nje, au akamtoa Chama kabla ya mechi kuisha; aisee alitukanwa mpaka basi!!!
imekuwaje tena!!!Sisi ni people.....tutaonana huu ni msemo anaoutafakari mwamba wa Lusaka [emoji23][emoji23]
Anajiuliza hii jeuri ya kunizingua kolos wameipata wapi....au wamena onana kabahatisha mechi na wydad
Au wameona CAF champions imestop Kwa muda[emoji23][emoji23]