Je simba wameanza lini kumvimbia Chama?

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Sisi ni people.....tutaonana huu ni msemo anaoutafakari mwamba wa Lusaka [emoji23][emoji23]
Anajiuliza hii jeuri ya kunizingua kolos wameipata wapi....au wamena onana kabahatisha mechi na wydad

Au wameona CAF champions imestop Kwa muda[emoji23][emoji23]
 
Mimi najiuliza tu hivi wale mashabiki wake lialia waliokuwa wakimpambania humu jukwaani, wako wapi!!!

Enzi hizo kocha Robertinho akimuacha nje, au akamtoa Chama kabla ya mechi kuisha; aisee alitukanwa mpaka basi!!!
 
imekuwaje tena!!!
kwaiyo chama asa hivi ndo aingie kwenye mfumo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…