Je simba wameanza lini kumvimbia Chama?

Daaah mmeanza kumponda,
dharau anazoleta ndio hatutakiii kabsa, yes amefanya makubwa simba possibly hakuna mchezaji mwenye mafanikio makubwa simba kwa upande wa professional sasa hilo asilichukulie kuwa ndio kinga yake.

alimisbehave kwa robertihno watu wakawa upande wake, leo tena anataka kutingisha kiberiti, mwambieeni hiki kiberiti cha mwamba benchikha kimejaa atatupwa nje ya mfumo. atulie amalize kandarasi yake.
 
Mtamkumbuka [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…