Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 861
- 2,515
Yanayoendelea sasa hivi hapa nchini yamenifikirisha sana na kunikumbusha wakati wa ZCO ACP ya Abdallah Zombe.
Baada ya uchunguzi wa Tume ya Jaji ikagundulika kuwa wale waliouwawa na polisi eti ni majambazi walikuwa wafanya biashara na walichukuliwa na Polisi, kufungwa vitambaa machoni kisha kupelekwa msituni kupangwa foleni na kumiminiwa risasi kama walivyokuwa wanafanyiwa Wayahudi na polisi wa Hitler wajulikanao kama GESTAPO kabla ya vita kuu ya pili ya dunia.
Sasa tujiulize, jee serikali hii ya CCM imeunda jeshi la Polisi (Tanpol) au imenda kikundi chake cha kuendesha mauaji kama kile cha Hitler GESTAPO?
Baada ya uchunguzi wa Tume ya Jaji ikagundulika kuwa wale waliouwawa na polisi eti ni majambazi walikuwa wafanya biashara na walichukuliwa na Polisi, kufungwa vitambaa machoni kisha kupelekwa msituni kupangwa foleni na kumiminiwa risasi kama walivyokuwa wanafanyiwa Wayahudi na polisi wa Hitler wajulikanao kama GESTAPO kabla ya vita kuu ya pili ya dunia.
Sasa tujiulize, jee serikali hii ya CCM imeunda jeshi la Polisi (Tanpol) au imenda kikundi chake cha kuendesha mauaji kama kile cha Hitler GESTAPO?