Jana zimevuja picha za mwaka 1986,
Za Jengo moja lililopo eneo moja liitwalo "No man land" huko South Korea..
Picha hizo zinaonekana kwenda kukanusha yale aliyoyasema mwandishi story ya Squid Game "Hwang Dong- Hyuk". Je, unajua ni picha gani, na ni maneno gani hayo?
Endelea👇
Mwandishi wa Squid Game, Bwana Hwang Dong-Hyuk
Aliulizwa,
Je Squid Game, Inatokana na story ya maisha ya kweli?
Mwamba alikanusha na kusema kuwa, hapana.
Story hii haijatokana na Maisha ya kweli bali, mambo yaliyondani yanatafsiri maisha ambayo watu wanaishi
Pia akaenda mbali zaidi na kusema kuwa Story hii ameiandaa na Game hizi ameziandaa, na kupata Idea baada ya kuangalia Katuni za kijapani, kwa miaka mingi..
Sasa jana, Jumatatu ya tarehe 6, Jan 2025,
zimevuja Picha za Jengo moja, la mwaka 1986, huko la huko South Korea, sehemu iitwayo "No mans Land"
Ambapo Inasemekana kuwa humo ndani watoto na watu wazima walikuwa wakichukuliwa na kufanyishwa kazi, na kama wakikataa watu hao
Walikuwa wakiuawa kikatili..
Ukiangalia Picha hizo za majengo, Rangi za nguo walizovaa hao watu,
Pamoja na Rangi ya Majengo hayo ni ile ile na inafanana sana na Mwonekano wa Squid Game..
Mpaka sasa tunashindwa kuelewa, je nani anaongea ukweli na nani ni muongo?
Tusubiri...
Muda utaelezea yote..
Asante kwa kuusoma huu uzi mpaka mwisho
Za Jengo moja lililopo eneo moja liitwalo "No man land" huko South Korea..
Picha hizo zinaonekana kwenda kukanusha yale aliyoyasema mwandishi story ya Squid Game "Hwang Dong- Hyuk". Je, unajua ni picha gani, na ni maneno gani hayo?
Endelea👇
Mwandishi wa Squid Game, Bwana Hwang Dong-Hyuk
Aliulizwa,
Je Squid Game, Inatokana na story ya maisha ya kweli?
Mwamba alikanusha na kusema kuwa, hapana.
Story hii haijatokana na Maisha ya kweli bali, mambo yaliyondani yanatafsiri maisha ambayo watu wanaishi
Pia akaenda mbali zaidi na kusema kuwa Story hii ameiandaa na Game hizi ameziandaa, na kupata Idea baada ya kuangalia Katuni za kijapani, kwa miaka mingi..
Sasa jana, Jumatatu ya tarehe 6, Jan 2025,
zimevuja Picha za Jengo moja, la mwaka 1986, huko la huko South Korea, sehemu iitwayo "No mans Land"
Ambapo Inasemekana kuwa humo ndani watoto na watu wazima walikuwa wakichukuliwa na kufanyishwa kazi, na kama wakikataa watu hao
Ukiangalia Picha hizo za majengo, Rangi za nguo walizovaa hao watu,
Pamoja na Rangi ya Majengo hayo ni ile ile na inafanana sana na Mwonekano wa Squid Game..
Mpaka sasa tunashindwa kuelewa, je nani anaongea ukweli na nani ni muongo?
Tusubiri...
Muda utaelezea yote..
Asante kwa kuusoma huu uzi mpaka mwisho