Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa na 9 mkuu sio 10.Tukiwatwanga Guinea na Libya tutakuwa na point 10. Guinea akishinda mechi yake moja baada ya kupoteza yetu atakuwa na point 10 pia.
Inabidi tumpige mabao mengi ili mambo ya GD yakae sawa. Tunaweza!? I doubt.
Braza unafuatilia mpira kweli? Libya tumecheza nae tayari ugenini na E Guinea tumecheza nao kwa mkapa. Tumebakiza mechi ya ugenini na Guinea na Libya anakuja kwa Mkapa.Nachokumbuka hao Guinea tumesha cheza nao game ya kwanza tukafa 2-1 kwa mkapa tukashinda 2-1 tumebaki na game 2 tu na Libya nyumbani na ugenini
🤣🤣 kweli mkuu nilichanganya madesa shukrani kwa kunikumbushaBraza unafuatilia mpira kweli? Libya tumecheza nae tayari ugenini na E Guinea tumecheza nao kwa mkapa. Tumebakiza mechi ya ugenini na Guinea na Libya anakuja kwa Mkapa.
Ule uzi wako wa taifa stars inacheza saa mbili bado upo?1. Tunisia P 10
2. E'Guine P 6
3. Tanzania P 4
4. Libya P 3