kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
kuna wakati huwa najiuliza,hawa waliosoma the so called shule za vipaji maalumu-special schools,baada ya kumaliza elimu ya juu,huwa wanafichwa/wanajificha wapi?mbona karibu % kubwa ya watunga sera na wafanya maamuzi nyeti tz CV zao hazionyeshi kama walisoma ktk shule hizo!?.ama hakika nchi hii wenye "akili ndogo huwaongoza wenye akili kubwa".