Je, Tanzania haina sura mpya za kuliongoza Taifa?

Je, Tanzania haina sura mpya za kuliongoza Taifa?

JFMemba

Senior Member
Joined
Jun 28, 2021
Posts
134
Reaction score
247
Najaribu kufuatilia hizi teuzi za viongozi naona watu wanatolewa na kurudishwa hadi najiuliza kwani nchi yetu haina kabisa sura mpya?

Yani inteligensia ya taifa imezunguka nchi nzima kutafuta vijana hata wasiokuwa serikalini ikakosa kabisa watu wa kuongoza hizo NHC au TTCL? Namaanisha vijana wazalendo ambao wanaongoza kampuni zinazofanya kazi kama hizo waje kuleta kitu kipya.

Hata hao Diaspora nao hawapo? Yani hakuna Mtanzania hata mmoja anayefanya kazi katika kampuni kubwa labda ya mawasiliano anayeweza kuleta kitu kipya.

Watu walewale kila siku na hakuna jipya wanalofanya. Wanasema Rais anajua taarifa nyingi za taifa ila hapa mbona panakuwa pagumu?

Au lazima tuweke watu tutakaoongea lugha moja?
 
Najaribu kufuatilia hizi teuzi za viongozi naona watu wanatolewa na kurudishwa hadi najiuliza kwani nchi yetu haina kabisa sura mpya?

Yani inteligensia ya taifa imezunguka nchi nzima kutafuta vijana hata wasiokuwa serikalini ikakosa kabisa watu wa kuongoza hizo NHC au TTCL? Namaanisha vijana wazalendo ambao wanaongoza kampuni zinazofanya kazi kama hizo waje kuleta kitu kipya.

Hata hao Diaspora nao hawapo? Yani hakuna Mtanzania hata mmoja anayefanya kazi katika kampuni kubwa labda ya mawasiliano anayeweza kuleta kitu kipya.

Watu walewale kila siku na hakuna jipya wanalofanya. Wanasema Rais anajua taarifa nyingi za taifa ila hapa mbona panakuwa pagumu?

Au lazima tuweke watu tutakaoongea lugha moja?
Tatizo huyu Mama anamsikiliza sana JK, yaani mtu aliyeshindwa kuongoza nchi unamfanyaje kuwa mshauri wako mkuu? Mama aachie madaraka tu, nchi inaanza kumshinda sasa. Juzi kaenda Zenji kumbembeleza Mama (Bibi) Fatma Karume amwambie mjukuu wake (Fatma Karume) aache kuisakama serikali yake. Kwa kweli Mama anaanza kuchemsha. Aachane na Kikwete afanye maamuzi yake tu, kwani si ana washauri wake?
 
Bongolala hatujawahi kuwa serious, labda miujiza itokee huko mbeleni.........huwezi kusimika mtu kuwa rais kwa miaka minne ambaye hajapitia mchakato wa uchaguzi kwenye nafasi hiyo, tuendelee kutarajia majanga zaidi......
 
Najaribu kufuatilia hizi teuzi za viongozi naona watu wanatolewa na kurudishwa hadi najiuliza kwani nchi yetu haina kabisa sura mpya?

Yani inteligensia ya taifa imezunguka nchi nzima kutafuta vijana hata wasiokuwa serikalini ikakosa kabisa watu wa kuongoza hizo NHC au TTCL? Namaanisha vijana wazalendo ambao wanaongoza kampuni zinazofanya kazi kama hizo waje kuleta kitu kipya.

Hata hao Diaspora nao hawapo? Yani hakuna Mtanzania hata mmoja anayefanya kazi katika kampuni kubwa labda ya mawasiliano anayeweza kuleta kitu kipya.

Watu walewale kila siku na hakuna jipya wanalofanya. Wanasema Rais anajua taarifa nyingi za taifa ila hapa mbona panakuwa pagumu?

Au lazima tuweke watu tutakaoongea lugha moja?
Hakuna mwenye nia njema na wananchi wote ni wapigaji na hiyo ni chain ya wapigaji
 
Bongolala hatujawahi kuwa serious, labda miujiza itokee huko mbeleni.........huwezi kusimika mtu kuwa rais kwa miaka minne ambaye hajapitia mchakato wa uchaguzi kwenye nafasi hiyo, tuendelee kutarajia majanga zaidi......
Tena zaidi ya majanga haswa
 
Back
Top Bottom