Je, Tanzania inaweza kuitosheleza Afrika Mashariki nzima kwa hili?

Je, Tanzania inaweza kuitosheleza Afrika Mashariki nzima kwa hili?

Naton Jr

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2016
Posts
7,867
Reaction score
19,250
Baada ya Tanzania kuitosheleza Africa Mashariki kwa mahindi sasa inataka kuitosheleza kwa mchele

Ikumbukwe Tanzania ndio great supplier wa mchele Rwanda, Burundi, Uganda and Kenya ama kwa hakika awamu hii imeamua

Sasa Tanzania kua among the greatest Rice producers in the world maybe ni baada ya kusainiwa makataba wa mkopo wa billions of money kwa hii project ya mchele

Pesa hizi zitabadilisha kabisa mkoa wa Kigoma na kua Rice producer region

Project itakua na mashamba makubwa ya maelfu ya ekari na viwanda vya kukoboa na kupack mchele first grade utakaouzwa ndani na nje ya nchi

Kutafungwa computerized irrigation system which will allow the cultivation to be done for the whole seasons of the year.
 
Ningependa kujua hector moja inatumia gunîa ngapi za mchele ??
 
Ningependa kujua hector moja inatumia gunîa ngapi za mchele ??
50 - 60 kwa modern rice farming na hybrid rice species huu ni utaalam iliyopo Egypt na Ethiopia in which Kuwait are the mastermind of that technology
 
50 - 60 kwa modern rice farming na hybrid rice species huu ni utaalam iliyopo Egypt na Ethiopia in which Kuwait are the mastermind of that technology
Naam ni sawa kabisa kwamba inaelezwa kuwa ekari moja unaweza ukapata tani 6. Tukichukulia kuwa gunia moja linakuwa na kilo 100. So ni sawa na maguni 60 kwa ekari. Hii ni kutoka kwa wataalamu wa kilimo.
Sasa chukulia mabonde mangapi tukonayo. Inamaana tunaweza kulisha Ethiopia, Somalia, Kenya, S Sudani, Sudani, Uganda, Rwanda, Burundi nk.
 
Naam ni sawa kabisa kwamba inaelezwa kuwa ekari moja unaweza ukapata tani 6. Tukichukulia kuwa gunia moja linakuwa na kilo 100. So ni sawa na maguni 60 kwa ekari. Hii ni kutoka kwa wataalamu wa kilimo.
Sasa chukulia mabonde mangapi tukonayo. Inamaana tunaweza kulisha Ethiopia, Somalia, Kenya, S Sudani, Sudani, Uganda, Rwanda, Burundi nk.
Yeah ni kweli kabisa lakini pia huko Iringa serikali ilifanya kitu kama hichi na sasa wakulima wa mpunga wanapiga pesa safi

Serikali ya JPM ilifunga irrigation system na machines za kukoboa na kugrade mchele nikipata video yake nitaiweka hapa

Lakini hii ya Kigoma ni superb
 
Back
Top Bottom