Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Hello hello!
Kulingana na kadhia hasa nyakati za majanga inachekesha sana, kitengo cha maafa, Jeshi la uokoaji, na kamati zote zimeendekeza Utopolo wa kujirudia, nyakati zote huambatana na haya.
Uokoaji hafifu, duni wenye vitu hivi
1. Hakuna vifaa
2. Waokoaji sifuri
3. Raia wa kawaida huibuka mashujaa kuliko wenye mafunzo
4. Viongozi wanaenda kwenye tukio kupiga soga na kuonekana kwenye camera za wanahabari.
5. Viongozi wanaongea kisanii
Mtaongezea mengine nimechoka na usanii wa Tanzania?
Pang Fung Mi
Kulingana na kadhia hasa nyakati za majanga inachekesha sana, kitengo cha maafa, Jeshi la uokoaji, na kamati zote zimeendekeza Utopolo wa kujirudia, nyakati zote huambatana na haya.
Uokoaji hafifu, duni wenye vitu hivi
1. Hakuna vifaa
2. Waokoaji sifuri
3. Raia wa kawaida huibuka mashujaa kuliko wenye mafunzo
4. Viongozi wanaenda kwenye tukio kupiga soga na kuonekana kwenye camera za wanahabari.
5. Viongozi wanaongea kisanii
Mtaongezea mengine nimechoka na usanii wa Tanzania?
Pang Fung Mi