"Nchi yetu haina dini ila watu wake wana dini-" Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.🙏🙏🙏Habari za saa wanachama wa hii platform pendwa, nilikuwa na swali muhimu kwenu wanachama lenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu.
Swali lenyewe muhimu ni hili:-
Je Taifa letu la Tanzania ni la kidini au sio la kidini ?
Tafsiri nyepesi zaidi ya swali langu ni hii: Je taifa letu Tanzania ni la wale tu wenye dini za kikristo na kiislamu[ ndizo dini za serikali ya Tanzania] au ni taifa lisilo egemea katika dini yoyote ile ?
Karibuni wajuvi wa mambo mpate kunijuza kwa faida yangu na ya wanachama wengine.
Dini ni Imani !! Kila mtu hapa Nchini ana imani yake na ndio dini yake !!Habari za saa wanachama wa hii platform pendwa, nilikuwa na swali muhimu kwenu wanachama lenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu.
Swali lenyewe muhimu ni hili:-
Je Taifa letu la Tanzania ni la kidini au sio la kidini ?
Tafsiri nyepesi zaidi ya swali langu ni hii: Je taifa letu Tanzania ni la wale tu wenye dini za kikristo na kiislamu[ ndizo dini za serikali ya Tanzania] au ni taifa lisilo egemea katika dini yoyote ile ?
Karibuni wajuvi wa mambo mpate kunijuza kwa faida yangu na ya wanachama wengine.
Rais anapoandaa mambo ya Hijja na serikali kutoa pesa kwa suala hilo, jibu liko wazi.Habari za saa wanachama wa hii platform pendwa, nilikuwa na swali muhimu kwenu wanachama lenye kuhitaji majawabu kutoka kwenu.
Swali lenyewe muhimu ni hili:-
Je Taifa letu la Tanzania ni la kidini au sio la kidini ?
Tafsiri nyepesi zaidi ya swali langu ni hii: Je taifa letu Tanzania ni la wale tu wenye dini za kikristo na kiislamu[ ndizo dini za serikali ya Tanzania] au ni taifa lisilo egemea katika dini yoyote ile ?
Karibuni wajuvi wa mambo mpate kunijuza kwa faida yangu na ya wanachama wengine.
Kivipi ? Bado hapo sijakuelewa vizuriSerikali ya taifa letu imejishikiza katika dini kuu mbili uislam na ukristo je nipo sahihi na kauli yangu ?
Taifa la kipagani na misukule
Utafeli, wananchi wanazo dini zao ila serikali inatakiwa isiwe na dini, umeshindwa vipi kuelewa hilo?Kwa hiyo maandishi ya vitabuni kuwa hatuna dini ni ya kilaghai tu ?
Pigia mstari.Anhaa kwa hiyo hatuna dini kimaandishi ya vitabuni ila kivitendo serikali yetu ya taifa letu imejishikiza na dini si ndivyo ?