Je tanzania tutafaidika vipi na soko la pamoja la eac?

Je tanzania tutafaidika vipi na soko la pamoja la eac?

anania

Member
Joined
Jul 2, 2010
Posts
83
Reaction score
8
NIMEULIZA HIVYO KWANI WATANZANIA WENYEWE TUKIENDA KUNUNUA VITU VYA KUTUMIA NYUMBANI TUNAULIZA VITU VYA KENYA.MFANO WA VITU HIVYO NI SABUNI PANADOL,SUFURIA YAANI VILE VITU VINAVYO TUMIKA KATIKA MAISHA YA KILA SIKU.NA ASILIMIA KUBWA YA WATANZANIA WAMEKUWA NA WASIWASI HATA WALE WENYEVIWANDA AMBAO SISI AKINA KAJAMBA NANI TULIFIKIRI WATACHEKELEA.jE NINI KIFANYIKE WAKUBWA?
 
Back
Top Bottom