#COVID19 Je, Tanzania tutegemee lockdown tena?

#COVID19 Je, Tanzania tutegemee lockdown tena?

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Je, Tanzania Tutegemee Lockdown Tena?

Katika wimbi la tatu la CORONA Tanzani itakua chini ya Vizuizi vya kutoka nje? Hapo jibu ni hapana kwa mjibu wa majibu ya Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima amesema kwamba Tanzania tusitegemee tena kuwepo kwa lockdown ( Vizuizi).

Hii ni kwasababu Nchi hata za ulaya ambazo zilipiga marufuku ya kutoka nje kwa wananchi bado tu CORONA iliendelea kuwasumbua na pia uchumi kuyumba.

Swala jingine ni kua Endapo tutakuwa chini ya Vizuizi uchumi wetu unaweza kuyumba na kusababisha Watu kukosa hata shilingi elfu moja ya matumizi.

Hivyo hatutawaiga wao wengine wana uchumi imara.

FB_IMG_16261976495418579.jpg
 
Mama aweke lockdown tu, asiogope mambo ya uchumi...apandishe tu VAT mpaka 30%, uchumi utakua tu bila shida🤸‍♂️🐒🤣
 
Hizi VAT zitoke wapi kama si kukandamiza wengine
Mama aweke lockdown tu, asiogope mambo ya uchumi...apandishe tu VAT mpaka 30%, uchumi utakua tu bila shida🤸‍♂️🐒🤣
 
Kichwa chako hapo juu ni tofauti kabisa na ulichoandika. waziri kasema hakuna lockdown halafu wewe kwa akili yako ya mtu mzima unauliza, "Tanzania tutegemee lockdown tena?"

Unavyosema "tena", je ilikwishakuwepo lini? Walimu huko madarasani wana shida sana. Yaani ukiwa na wanafunzi 2 kama wewe darasani sijui inakuwaje!
 
Kichwa chako hapo juu ni tofauti kabisa na ulichoandika. waziri kasema hakuna lockdown halafu wewe kwa akili yako ya mtu mzima unauliza, "Tanzania tutegemee lockdown tena?" Unavyosema "tena", je ilikwishakuwepo lini? Walimu huko madarasani wana shida sana. Yaani ukiwa na wanafunzi 2 kama wewe darasani sijui inakuwaje!
Mimi nilikimbia umande kumbe nilitoroka vitu vizuri hivyo. Lakini hiyo kwa waandishi tunasema kwamba.

The reporter reported report to all as always reports is.
 
Back
Top Bottom