nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 1,033
- 895
Nauliza kama Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wanayo nguvu ya kisheria kuwataka Clouds FM kurudisha vipindi vyao? Au sheria inasemaje endapo chombo cha habari kwa matakwa yao kuamuwa kuondoa baadhi ya vipindi kwa wasikilizaji wao?