Je, teknolojia ya roboti wanaoongea ilikuwepo wakati wa Musa na Haruni kama Kurani?

Nimetazama animation moja inaitwa Astro Boy, wanaeleza kuwa kuna muda utafika Robots watadai haki zao, kuishi watakavyo kama viumbe wengine, kutoka utumwani kwenye mikono ya binadamu 😀😀😀
 
Nimetazama animation moja inaitwa Astro Boy, wanaeleza kuwa kuna muda utafika Robots watadai haki zao, kuishi watakavyo kama viumbe wengine, kutoka utumwani kwenye mikono ya binadamu 😀😀😀
ARTIFICIAL INTELLIGENCE ni somo pana ,huyu mtoa mada akili yake ndogo kwa kitu kutoa sauti basi kimekuwa ROBOT hata mlango wangu ndani unatoa sauti
 
Hizi tunaita kelele maana hakuna dalili yeyote ya kukubeba kwenye hili endelea na kufuru zako eti bikira Maria mama wangu jamani nyie watu mwenye macho na aone

wee HUMJUI MUNGU, PAMOJA NA UWEZO, UKUU, na MAAJABU YAKE...njoo madrasat nuur bahar jannat kwa shehe kidevu upate Ilimu GHAIBU...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

kila siku huwa nasema mungu alishusha amri kumi tu tena kwa kumuagiza mtu mmoja.bibilia na quruan tuliandika sisi kulingana na tuliyo yaona kwa uwezo wa malaika
 
Maktaba kubwa kweli kweli ndio maana padre martin Luther king hakaamua apunguze vile vitabu vingine maana vinamkera, halafu kuhusu majina yote hayana tabu vyote ni vya Mwenyezi Mungu unastaajabu nini dogo

Hata Maana ya kuongeza ña kupunguza hujui [emoji12] tuwekee ktk hizi [emoji117] kapunguza au kuongeza wapi [emoji15] [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akitaka kuwa shoga anakuwa?nakusubir
Unaona akili za kisilamu [emoji15] [emoji12] MUNGU YU MBALI NA UOVU kama hujui [emoji12] na kwa kauli yako hiyo kwamba Mungu ana tigo [emoji15] [emoji24] Usipotubu LAANATULAHI KILA UNAPO INGIA NA KUTO NA KILA UKIFANYACHO LAANA YA MUNGU ITAKUFUATA...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Quran ilishushwa kwa Mohamad kama yenyewe inavyosema, miaka kabla ya apo hapakuwa na quran na hapakuwa na wapingaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza hapa umekosea....waislam hawategemei biblia kuthibitisha utume wa muhammad. Quran yenyewe inamueleza muhammad ni nani.

Sent using my NOKIA torch
Shwali ni kwann waislam kwenye Quran yao wanaongelea sana waisraeli ilihali waisraeli sio waislam,
Apa ndo utajua biblia ni reference ya quran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok kumbe akili imekukaa sawa Mungu yuko mbali na uovu ,saafi kabisa kwahiyo kama Mungu alikabana na yakobo maana yake ni jambo zuri sasa kipi kinakushangaza malaika kumkaba mtume , kumbe jambo la kukabana linapendeza machoni kwa Bwana?
 
Kama mtoto analilia pipi [emoji12] Nimekwambia Biblia Takatifu ni Maktaba kubwa tu! wewe uniambie Martin Luther King amefanya kosa gani kuchagua Vitabu vya kusoma [emoji47]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kachagua bali kavikataa kabisa kuwa havifai kwa mitazamo yake , hayo mambo ya kujichagulia ni kawaida yenu ndio maana hata Yohana aliamua aache mambo mengi haliyoyafanya Yesu ambayo akili yake iliona hayana umuhimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…