Je, teknolojia ya roboti wanaoongea ilikuwepo wakati wa Musa na Haruni kama Kurani?

Kaka nimekukubali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KABLA HATA SIJAZIELEKEA HIZO HOJA ZAKO...NAOMBA MUONGOZO UFUATAO...

UKIACHANA NA HIZO AYA ULIZOCHOMOA KWENYE BIBLE...

TUPE EVIDENCE ZINAZOTHIBITISHA USAHIHI WA HIZO STORY NA POROJO ULIZOSHUSHA NA KUJENGEA HOJA...?
 
TUPE EVIDENCE ZINAZOTHIBITISHA USAHIHI WA HIZO STORY NA POROJO ULIZOSHUSHA NA KUJENGEA HOJA...


Hakuna porojo hata moja na kwa kuwa wewe ndiye unahitaji la kujibu hoja basi wewe ndiye unayebanwa kukaba ushahidi kwamba nimetoa porojo.
 
Hakuna porojo hata moja na kwa kuwa wewe ndiye unahitaji la kujibu hoja basi wewe ndiye unayebanwa kukaba ushahidi kwamba nimetoa porojo.
Ukiona mtu hajibu hoja hata moja,anatoa maneno ya hovyo tu,ujue Hana Cha kujibu.Yaan anachokiamini hakina uwezo wa kujitetea.Quran ni hadithi za paukwa pakawa,Hilo halina ubishi.
 
Hivi ni kwanini yule aliyemkaba Mohamad kule Pangoni hakujitambulisha ?
Na je, yule Padri Walaqa, aliyetabiri kuwa Muhamadi ni mtume, yeye aliambiwa na nani kwamba amwambie Muhamadi kuhusu kuwa mtume ?
Ivi Waraqa naye alishushiwa Wahayi ili atambue utume wa Muhamadi ?
Au naye Waraqa alitokewa na Jiburiri ?
Duh.. hadi niko hoi kwa hii sintofahamu.
 
Kwanini unakaaa na maswali mepesi haya hautuulizi wataalam
1. aliemkaba Mohamadi alijitambulisha kuwa ni JIbril
2.kwani kuna ubaya gani waraqa kumtambua Mohamadi kuwa ni mtume? mbona watu wengi tu walimtambua Yesu lakini walikuwa sio wanafunzi wake
3.kwani kutambua jambo mpaka uwe na wahayi? ni elimu juu ya jambo lile ndio linaleta utambuzi sio wahayi
 
Ukiona mtu hajibu hoja hata moja,anatoa maneno ya hovyo tu,ujue Hana Cha kujibu.Yaan anachokiamini hakina uwezo wa kujitetea.Quran ni hadithi za paukwa pakawa,Hilo halina ubishi.
Hoja zote zimejibiwa wacha kelele wewe , labda wewe utuambie wapi ujaelewa
 
Hakuna kitu kama hicho katika Quran (Surati Twaha 20:85-95). Umepotosha na kuongopa.
Umeshindwa kuelewa na hutaelewa kwa kuwa lugha iliyotumika huielewi. Kwa kuwa title yako
ndio imebeba maudhui yote ni kama bandiko lote linakosa uhalali.

Kurani na yenyewe katika Sura Ta Ha 20: 85-96,inasimulizi lile lile, ila ambalo inaonekana limefanyiwa editing kidogo.Tofauti na inavyoelezwa katika Biblia,katika Kurani Muhammad, anasema aliyewatengenezea Waisrael sanamu ya Ndama huyo ni Msamaria mmoja,ambaye hamtaji jina.Kitu kingine ambacho Muhammad anakisema kuhusiana na kisa hicho, ni kwamba sanamu hiyo ya Ndama ilikuwa na uwezo wa kuongea!Jambo la tatu, ni kwamba eti Mungu ndiye aliyewatega waisrael kuona kama ni wavumilivu,hasa baada ya Musa kuwa amewaacha Waisraeli na kaka yake Haruni,kwa muda mrefu bila kurudi.
 
Wanazuoni wa kiislamu wanadai iliandikwa na Mungu na kisha akampatia malaika Jibrili(Gabrieli?) bila kufanya editing yoyote ile akampasia Muhammad na Muhammad akiisha kuipokea, hakuwahi kuichezea na hata leo waislamu hawajaichezea aslani.
Hahahahahahaha....Mudy bana!
 
Ukiona mtu hajibu hoja hata moja,anatoa maneno ya hovyo tu,ujue Hana Cha kujibu.Yaan anachokiamini hakina uwezo wa kujitetea.Quran ni hadithi za paukwa pakawa,Hilo halina ubishi.
MKUU watakuchinja kweupe !
 
Naona wametukomalia sana Uislam ila hawatuwezi katika dini ambayo ni imara ndio hiii nyie level yenu pambana na wasabato kwanza....kwanza nyie kila dhehebu lina biblia yake malizaneni kwanza nyie hii ngoma kubwa hutaweza narudia hutaweza
 
Tunaamini injili ndio kitabu sahihi cha Yesu
 
Surah ya 15(All hijr) verse 26

Allah alimuumba binadamu kwa udongo unaotoa sauti..

Na yeye aliumba roboti nn huo ndio uandishi wa Quran bana yaaan raha tupu
 
Mada za kuleta mgawanyiko! Anyway ndo uhuru wa kujieleza mlioutaka
 

Kwani hasa tatizo lako ni lipo juu ya huu uislaam.
Waache waislaam na uislaam wao,wayahudi na uyahud wao na Makafiri na ukafiri.
Kipi hasa kinakuuma dhidi ya uislaam?
Surat 109:1-6)
Wewe kaa na ukafiri wako tuache sisi na dini yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…