Hii siamini hata kidogo. Hao waganga watia hamasa tu kuwaaminisha wachezaji kutia bidii.Uchawi una nafasi katika mpira duniani. Sio Tz au Africa pekee.
Porto wameajiri mganga huko na yuko kwenye payroll ya timu.
Ni baada ya Benfica misimu iliyopita kuajiri mganga halafu wakachukua ubingwa.
Porto wakasema usitutanie. Ulaya hiyo.
Hapa tuko pamoja, uchawi ni kucheza tu na akili ya mpinzani wako, hakuna zaidi ya hapo.Hii siamini hata kidogo. Hao waganga watia hamasa tu kuwaaminisha wachezaji kutia bidii.
Ingekuwa hivyo vitu vinafanya kazi basi Katavi Rangers ya Sumbawanga (wakati ule) au Reli Kigoma wasingeshuka daraja. Nawngekuwa wanabeba ubingwa hadi leo.
Sasa kwani factor ni moja?Hii siamini hata kidogo. Hao waganga watia hamasa tu kuwaaminisha wachezaji kutia bidii.
Ingekuwa hivyo vitu vinafanya kazi basi Katavi Rangers ya Sumbawanga (wakati ule) au Reli Kigoma wasingeshuka daraja. Nawngekuwa wanabeba ubingwa hadi leo.
Chealse hii ni tofauti na Chaelse ya Ibrahimovich wakati akaimwaga pesa za kusajali,hata Mazembe,Enyimba baada ya kupunguza kupump pesa kwenye usajili sasa hivi izo timu zimekua sio tishio tena kama zamani.Uwekezaji uwe mdogo au mkubwa, hauna uhusiano wa moja kwa moja na ushibdi wa timu..
Juzi kwenye EPL, Chelsea licha ya kusajili kwa pesa nyingi, lakini bado ikafungwa na Southampton iliyoko nafasi ya mwisho kwenye msimamo wa ligi, kuelewana wachezaji uwanjani [ chemistry ] ndio kila kitu.
Hebu sasa turudi mezani, je, performance ya Simba Sc uwanjani, imeathiriwa na makundi ya uchaguzi?
Kosa limeanzia kuleta kocha mpya wakati usio sahihi. Simba hakukuwa na tatizo la kocha, walihitajika wachezaji wazuri kuongeza uwezo wa kufumania nyavu.Salaam..!!
Katika pita pita zangu mitaani nimekutana na maneno toka kwa wadau wa Simba Sc, hasa mashabiki na wanachama wake, wanaodai kwamba, uchaguzi wa Simba Sc kufanyika wakati ule [katikati ya msimu] yamechangia kuathiri uwezo wa timu uwanjani.
Binafsi napata mashaka na uzito wa madai hayo kwasababu moja kubwa, kwamba, timu ya Simba Sc kwasasa iko chini ya mwekezaji Mo, huyu ndie yupo "responsible" kwa mahitaji yote muhimu ya timu, kuanzia chakula, malazi, usafiri, usajili, mishahara ya wachezaji, na mengineyo.
Kwangu ningeyaona madai hayo [tetesi hizo] zina uzito endapo kama bado timu ya Simba Sc ingekuwa na mfumo uliopita kabla ya ujio wa mwekezaji, ambapo watu binafsi walikuwa wakisajili wachezaji wao, kuwalipa mishahara, na kulazimisha kocha mkuu awapange wachezaji wao, hata kama hawana uwezo uwanjani lengo likiwa kuwatafutia masoko nje kupitia Simba Sc.
Kwa akili ya kawaida, ungetambua kwamba, hawa wachezaji walikuwa na uwezo wa kuwasikiliza mabosi wao waliowasajili na kuwalipa mishahara, pale ambapo mambo binafsi ya mabosi hao hayakwenda vizuri ndani ya klabu, ikiwemo kushindwa uchaguzi, hivyo kuwaambia wachezaji wao wacheze chini ya kiwango ili kuwakomoa wapinzani wao walioshinda uchaguzi.
Lakini leo Mo anatoa kila kitu, hao watu waliopo nje ya timu [kama kweli wapo] wenye uwezo wa kuwashawishi wachezaji kucheza chini ya kiwango na kuathiri matokeo ya timu uwanjani ni wakina nani? na iweje wawe na nguvu kubwa kiasi hicho ya ushawishi kwa wachezaji [ kama wapo]?
Yangu ni hayo tu ...
viongozi wajinga,walikataa kuwapa Vipers kumsajili Manzoki pesa ambazo wameenda kumpa Oatara na Akpan ambao mpaka sasa ni useless kwa timu.Kosa limeanzia kuleta kocha mpya wakati usio sahihi. Simba hakukuwa na tatizo la kocha, walihitajika wachezaji wazuri kuongeza uwezo wa kufumania nyavu.
Hiyo pesa waliyomsajilia kocha ni bora wangenunua wachezaji wazuri.
Yaani ukitaka kujua kuwa viongozi wamekosa vision, Ni pale walimleta Manzoki kwenye uchaguzi, mtu ambaye kuja kwake hakuna impact yoyote kwa mafanikio ya timu. Hajasajiliwa wala hagombei uongozi, sijui alikuwa wa nini!!
Factors 2-4 zinaplay part.Sasa kwani factor ni moja?
1)Uchawi una asilimia zake
2)ubora wa kikosi
3) bahati
4)rushwa(refer Juventus 2007)
nk
Nakuunga mkono 100%viongozi wajinga,walikataa kuwapa Vipers kumsajili Manzoki pesa ambazo wameenda kumpa Oatara na Akpan ambao mpaka sasa ni useless kwa timu.
pesa za kumleta mbrasil wangemuongeza Mgunda kuongeza chachu kwa Mgunda ambae kaifikisha timu group stage huku akipambana kupata kikosi cha kwanza.
Kwahiyo Msimbazi Wameiga ULAYA??Uchawi una nafasi katika mpira duniani. Sio Tz au Africa pekee.
Porto wameajiri mganga huko na yuko kwenye payroll ya timu.
Ni baada ya Benfica misimu iliyopita kuajiri mganga halafu wakachukua ubingwa.
Porto wakasema usitutanie. Ulaya hiyo.
Sio inawezekana huko kukosa nafasi nyingi za wazi kwa mchezaji ndio nguvu ya ushawishi toka nje inakuwa imefanya kazi yake?Chealse hii ni tofauti na Chaelse ya Ibrahimovich wakati akaimwaga pesa za kusajali,hata Mazembe,Enyimba baada ya kupunguza kupump pesa kwenye usajili sasa hivi izo timu zimekua sio tishio tena kama zamani.
tukirudi kwenye mada jibu ni hapana makundi ayahusiki na perfomance ya timu uwanjani.mchezaji anapata nafasi nne afungi hata moja tena ingekua mechi moja tungesema leo hakuwa na bahati lakini jambo hilo la kukosa magoli linatokea zaidi ya mechi nne mpaka tano,tena kabla hata makundi ya uchaguzi hayajaibuka,sasa hapo makundi yanahusikaje na mchezaji kukosa magoli nafasi mpaka nne?
Hili la kumleta Manzoki kwenye uchaguzi kweli lilikuwa tusi kwetu.Kosa limeanzia kuleta kocha mpya wakati usio sahihi. Simba hakukuwa na tatizo la kocha, walihitajika wachezaji wazuri kuongeza uwezo wa kufumania nyavu.
Hiyo pesa waliyomsajilia kocha ni bora wangenunua wachezaji wazuri.
Yaani ukitaka kujua kuwa viongozi wamekosa vision, Ni pale walimleta Manzoki kwenye uchaguzi, mtu ambaye kuja kwake hakuna impact yoyote kwa mafanikio ya timu. Hajasajiliwa wala hagombei uongozi, sijui alikuwa wa nini!!
Wale mabosi wa Vipers nao kuna wakati niliwaona kama walitufanyia figisu makusudi kwasababu Manzoki alionesha kuitaka sana Simba Sc.viongozi wajinga,walikataa kuwapa Vipers kumsajili Manzoki pesa ambazo wameenda kumpa Oatara na Akpan ambao mpaka sasa ni useless kwa timu.
pesa za kumleta mbrasil wangemuongeza Mgunda kuongeza chachu kwa Mgunda ambae kaifikisha timu group stage huku akipambana kupata kikosi cha kwanza.
Bahati ni jambo linalotokea mara chache sana tuseme kwenye mara 100 linaweza kutokea mara 1.Mpira ni pesa sawa, lakini kuna mambo mengine licha ya uwekezaji yanahitaji bahati pia, kama kuchukua vikombe.
Figusu kiaje? Yaani mshindwe wenyewe kufika price tag ya mchezaji halafu lawama muwape viongozi wa vipers? Yaani nyie washabiki wa Simba huwa mnachekesha sana, kwenye failure zenu lazima tu mutafute mtu wa kumlaumu [emoji119][emoji119]Wale mabosi wa Vipers nao kuna wakati niliwaona kama walitufanyia figisu makusudi kwasababu Manzoki alionesha kuitaka sana Simba Sc.
Mbona Guardiola hashindi vikombe kila anakopita licha ya ubora wa vikosi vyake? kama bahti ni kukosa mara moja kama ulivyoandika, basi angetakiwa awe anashinda kila wakati.Bahati ni jambo linalotokea mara chache sana tuseme kwenye mara 100 linaweza kutokea mara 1.
Sasa sielewi unavyosema vikombe vinachukuliwa kwa bahati
Lile suala la Manzoki lilikuwa na kona nyingi sana, mara mchezaji aseme mkataba wake umeisha, mara nyingine unakwisha December, huku viongozi wake wakidai bado unaendelea..Figusu kiaje? Yaani mshindwe wenyewe kufika price tag ya mchezaji halafu lawama muwape viongozi wa vipers? Yaani nyie washabiki wa Simba huwa mnachekesha sana, kwenye failure zenu lazima tu mutafute mtu wa kumlaumu [emoji119][emoji119]