Je, TFF walichelewesha kutoa ratiba ya ligi kuu ili kumbeba Simba?

Je, TFF walichelewesha kutoa ratiba ya ligi kuu ili kumbeba Simba?

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Ukiangalia jinsi matches hizi za mwanzo za Simba zilivyopanga unaona kabisa zilipilangwa kimkakati ili kuwapa urahisi wa ushindi na kuwapunguzia pressure kwa mashabiki na wanachama wao.

Haiwezekani match ya kwanza na Tabora wamecheza huku Tabora ukiwa haina wachezaji wake wote muhimu wa kigeni wa kikosi cha kwanza,match ya pili tena watacheza na Fountain Gate nayo mpaka leo hii haijakamilisha usajili.

Hili swala lingekuwa lipo upande wa Yanga ungesikia wachambuzi uchwara wanaponda na kusema hela za GSM zunaharibu ligi yetu.
 
Nadhani huo ni uzembe wa team hizo, Simba hawana shida
Sasa Simba wangeenda kuwasajilia hao Tabora au Singida
Ratiba imetoka acha ligi ichezwe tu
Iwe ni lengo la kumbeba Simba au la!
Hapo hatuna uhakika wa wazi
Hata Singida angecheza na Mashuja Bado labda tungelalamika
 
Ukiangalia jinsi matches hizi za mwanzo za Simba zilivyopanga unaona kabisa zilipilangwa kimkakati ili kuwapa urahisi wa ushindi na kuwapunguzia pressure kwa mashabiki na wanachama wao.

Haiwezekani match ya kwanza na Tabora wamecheza huku Tabora ukiwa haina wachezaji wake wote muhimu wa kigeni wa kikosi cha kwanza,match ya pili tena watacheza na Fountain Gate nayo mpaka leo hii haijakamilisha usajili.

Hili swala lingekuwa lipo upande wa Yanga ungesikia wachambuzi uchwara wanaponda na kusema hela za GSM zunaharibu ligi yetu.
Hizo timu kutokusajili ni kosa la nani?Ni Simba SC?Kwa hiyo wasingepangwa kucheza mechi hadi wakamilishe sajili zao?
 
Ukiangalia jinsi matches hizi za mwanzo za Simba zilivyopanga unaona kabisa zilipilangwa kimkakati ili kuwapa urahisi wa ushindi na kuwapunguzia pressure kwa mashabiki na wanachama wao.

Haiwezekani match ya kwanza na Tabora wamecheza huku Tabora ukiwa haina wachezaji wake wote muhimu wa kigeni wa kikosi cha kwanza,match ya pili tena watacheza na Fountain Gate nayo mpaka leo hii haijakamilisha usajili.

Hili swala lingekuwa lipo upande wa Yanga ungesikia wachambuzi uchwara wanaponda na kusema hela za GSM zunaharibu ligi yetu.
Hizo sio shida zetu..
 
Nadhani huo ni uzembe wa team hizo, Simba hawana shida
Sasa Simba wangeenda kuwasajilia hao Tabora au Singida
Ratiba imetoka acha ligi ichezwe tu
Iwe ni lengo la kumbeba Simba au la!
Hapo hatuna uhakika wa wazi
Hata Singida angecheza na Mashuja Bado labda tungelalamika
Anasahau msimu uliopita Azam waliwakung'unta Tabora Utd ngapi mechi ya kwanza!Na walikua hawajakamilisha sajili zao hivyohivyo. Leo anailaumu SSC.Nongwa mbichi hii.
 
Nadhani huo ni uzembe wa team hizo, Simba hawana shida
Sasa Simba wangeenda kuwasajilia hao Tabora au Singida
Ratiba imetoka acha ligi ichezwe tu
Iwe ni lengo la kumbeba Simba au la!
Hapo hatuna uhakika wa wazi
Hata Singida angecheza na Mashuja Bado labda tungelalamika
Kwanini hizo timu zipewe Simba tena matches mbili za kwanza mfululizo?
 
Back
Top Bottom