Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatumia dawa za Hospitalini au Dawa za kienyeji?Nimekua natumia tiba kwa miaka sita, naendelea vizuri, naogopa kuacha lakini kadiri mda unavyopita nguvu za kiume zinaisha.
Nifanyeje jamani? Msaada tafadhali, nipo mkoani.
Vyawezaendana. Manake kuna madawa yanasaidia watu ambao wapo hyperactive. Kama unayotumia ni ya jamii hiyo lazima nguvu zipunguwe!Nimekua natumia tiba kwa miaka sita, naendelea vizuri, naogopa kuacha lakini kadiri mda unavyopita nguvu za kiume zinaisha.
Nifanyeje jamani? Msaada tafadhali, nipo mkoani.
Mkuu ni kweli kabisa hizo dawa hupunguza nguvu za kiume na hamu ya kufanya mapenzi kama ukizitumia mda mrefu!, hasahasa kama unatumia haloperidol , modicate... hizi kwa kitaalamu tunaziita (the conventional antpsychotics)Nimekua natumia tiba kwa miaka sita, naendelea vizuri, naogopa kuacha lakini kadiri mda unavyopita nguvu za kiume zinaisha.
Nifanyeje jamani? Msaada tafadhali, nipo mkoani.