Je, toilet paper hazina madhara?

Je, toilet paper hazina madhara?

upupu

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2008
Posts
614
Reaction score
198
Wakuu naomba msaada,

Mimi hapa mjini ni mgeni nina wiki mbili tu nimekuta mengi mapya.

Moja linalonishangaza na kuniduwaza ni huu utaratibu wa kuchamba kwa kutumia toilet paper.

Je, hauna madhara yoyote kiafya?

Nashangaa sana, vyooni maji yapo ila ni ya kuflashia tu, hakuna mabomba kwa ajili ya kuchamba, wala hakuna makopo ya kuchotea maji, huu utaratibu ukoje.

Mimi nashindwa kuelewa.

Kwanini watu mjini hasa maofisini wanapenda toilet paper badala ya maji?

Mimi nikichamba na toilet paper siwi na amani, najihisi kunuka, naona kama natembea na kinyesi.

Nisaidieni jamani, ushamba mzigo.
 
Ushamba au ustaarabu? Utanuka mavi jioshe.Wanuka mavi wasikubabaishe.
 
pole sana ndugu

ni kweli kabisa kuchamba bila maji ni tatizo kwa kuna baadhi ya haja kubwa utaacha na kumbuka haja kubwa ina bacteria ambao wakiwa tumboni ni normal frola lakini wakiama kwenye mazingira yake heleta madhara hivyo unapo chamba huakikishe unatoa yote kama si hivyo na kushauri tumia wipes ambazo zenyewe zina maji maji pia zipo za asili kabisa ambazo zina maji maji ambayo ni anti bacteria hivyo hata wale bacteria wa UTI ambao ni E.coli ambao kitaalamu ni gram negative organism

sasa zinauzwa elfu 6 tu wipes zinakuwa 60
 
pole sana ndugu
ni kweli kabisa kuchamba bila maji ni tatizo kwa kuna baadhi ya haja kubwa utaacha na kumbuka haja kubwa ina bacteria ambao wakiwa tumboni ni normal frola lakini wakiama kwenye mazingira yake heleta madhara hivyo unapo chamba huakikishe unatoa yote kama si hivyo na kushauri tumia wipes ambazo zenyewe zina maji maji pia zipo za asili kabisa ambazo zina maji maji ambayo ni anti bacteria hivyo hata wale bacteria wa UTI ambao ni E.coli ambao kitaalamu ni gram negative organism

sasa zinauzwa elfu 6 tu wipes zinakuwa 60

Shukrani sana mkuu, nakusoma
 
Karibu mjini, utashangaa mengi sana, vipi ujashangaa na huu ustaarabu unatoa kitambaa mfukoni unapenga kamasi kubwa kisha unarudisha kitambaa mfukoni, baadae joto kali unatoka jasho unatoa kitambaa chako mfukoni kisha unajifuta jasho, then unakirudisha mfukoni.
 
Karibu mjini, utashangaa mengi sana, vipi ujashangaa na huu ustaarabu unatoa kitambaa mfukoni unapenga kamasi kubwa kisha unarudisha kitambaa mfukoni, baadae joto kali unatoka jasho unatoa kitambaa chako mfukoni kisha unajifuta jasho, then unakirudisha mfukoni.


Hii inahitaji moyo
 
Karibu mjini, utashangaa mengi sana, vipi ujashangaa na huu ustaarabu unatoa kitambaa mfukoni unapenga kamasi kubwa kisha unarudisha kitambaa mfukoni, baadae joto kali unatoka jasho unatoa kitambaa chako mfukoni kisha unajifuta jasho, then unakirudisha mfukoni.
Duu hii hatari, umetoa kitambaa kumbe hakijakauka vizuri, unajifuta matokeo yake unajikuta umejipaka uso mzima.
 
Hauko peke yako, hata mimi kutumia toilet paper bila maji pale yasipokuwepo kwa kweli sipati amani.
 
Sure mamanzara, huu ustaraabu wa kizungu hapana.
 
pole sana ndugu

ni kweli kabisa kuchamba bila maji ni tatizo kwa kuna baadhi ya haja kubwa utaacha na kumbuka haja kubwa ina bacteria ambao wakiwa tumboni ni normal frola lakini wakiama kwenye mazingira yake heleta madhara hivyo unapo chamba huakikishe unatoa yote kama si hivyo na kushauri tumia wipes ambazo zenyewe zina maji maji pia zipo za asili kabisa ambazo zina maji maji ambayo ni anti bacteria hivyo hata wale bacteria wa UTI ambao ni E.coli ambao kitaalamu ni gram negative organism

sasa zinauzwa elfu 6 tu wipes zinakuwa 60

hizo za asili zikoje. au magunzi?
 
Big no kwa toilet paper,ni mwendo wa maji tu,siku hizi teknoloj imekua haushiki hata na mkono kujinawisha,unakamata bomba maji yanatoka kwa pressure inasafisha flesh,after that ndio unaweza ukatumia toilet paper kukaushia maji ili yasiloeshe nguo.
 
pole sana ndugu

ni kweli kabisa kuchamba bila maji ni tatizo kwa kuna baadhi ya haja kubwa utaacha na kumbuka haja kubwa ina bacteria ambao wakiwa tumboni ni normal frola lakini wakiama kwenye mazingira yake heleta madhara hivyo unapo chamba huakikishe unatoa yote kama si hivyo na kushauri tumia wipes ambazo zenyewe zina maji maji pia zipo za asili kabisa ambazo zina maji maji ambayo ni anti bacteria hivyo hata wale bacteria wa UTI ambao ni E.coli ambao kitaalamu ni gram negative organism

sasa zinauzwa elfu 6 tu wipes zinakuwa 60

Kwasisi waislam hatutembei na ma....vi mata....oni, waulize wengine
 
Umeulizwa Muislam au wameulizwa wana JF
 
Kutumia maji kuchamba ndio utaratibu mzuri sana,kama mwenyezi Mungu alitupatia maji ni vizuri kuyatumia kwa usafi huo pia.Nafikiri mijini watu wanatumia sana sana TP kwa ajili ya tabu ya kupata maji na pia kulingana na nature ya vyoo vingi vya sasa vya kukalia.

Mimi tokea nikiwa mdogo natumia maji na napenda hivyo labda niwe kwny mazingira magumu mara chache.
 
Back
Top Bottom