Yeye ndio alio niambia nina tonses mkuu Nashukur kwa ushauriPole sana duka la dawa amekupa dawa kwa kadri ulivojieleza ILA amekupa dawa ya kikohozi goodmorning sio dawa ya tonselites (tonses) kama unadhani una sumbuliwa na tonses kanunue dawa inaitwa PEN-V hii ni dawa itakusaidia kwa haraka sana. POLE SANA.
Good morning sio ant bioticsSalaaam wakuu Poleni Na majukumu
Nimekuwa nikiteseka sasa takriban week ya pili hii kooh limekuwa likiuma hali inayo sababisha
Kupanda kwa homa kali na kutapika
Nilimuelezea nes duka lamadawa akasema naumwa
Tonces akanipa goodmorn
Nimetumia dozi hadi imeisha lakini sioni ahueni kabisaa bado nahoma kali
Huku nikivuta hewa nahisi kama kuna maumivu kwenye koromeo
Tafadhali wataalamu naomba mnijuze nitatizo gani nanichukue hatua zipi sababu
Nakosa raha kabisa wakuu hata kufanya shughuli zangu sababu tu ya kuumwa na homa
Naomba kuwasilisha Wakuu
Nurse sio Dr ....siku nyngine ukiumwa nenda Dr akuoneSalaaam wakuu Poleni Na majukumu
Nimekuwa nikiteseka sasa takriban week ya pili hii kooh limekuwa likiuma hali inayo sababisha
Kupanda kwa homa kali na kutapika
Nilimuelezea nes duka lamadawa akasema naumwa
Tonces akanipa goodmorn
Nimetumia dozi hadi imeisha lakini sioni ahueni kabisaa bado nahoma kali
Huku nikivuta hewa nahisi kama kuna maumivu kwenye koromeo
Tafadhali wataalamu naomba mnijuze nitatizo gani nanichukue hatua zipi sababu
Nakosa raha kabisa wakuu hata kufanya shughuli zangu sababu tu ya kuumwa na homa
Naomba kuwasilisha Wakuu