Je:Tonces Ndio sababu ????

Chibudee

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2016
Posts
1,775
Reaction score
2,404
Salaaam wakuu Poleni Na majukumu

Nimekuwa nikiteseka sasa takriban week ya pili hii kooh limekuwa likiuma hali inayo sababisha

Kupanda kwa homa kali na kutapika

Nilimuelezea nes duka lamadawa akasema naumwa

Tonces akanipa goodmorn

Nimetumia dozi hadi imeisha lakini sioni ahueni kabisaa bado nahoma kali

Huku nikivuta hewa nahisi kama kuna maumivu kwenye koromeo

Tafadhali wataalamu naomba mnijuze nitatizo gani nanichukue hatua zipi sababu

Nakosa raha kabisa wakuu hata kufanya shughuli zangu sababu tu ya kuumwa na homa

Naomba kuwasilisha Wakuu
 
Pole sana duka la dawa amekupa dawa kwa kadri ulivojieleza ILA amekupa dawa ya kikohozi goodmorning sio dawa ya tonselites (tonses) kama unadhani una sumbuliwa na tonses kanunue dawa inaitwa PEN-V hii ni dawa itakusaidia kwa haraka sana. POLE SANA.
 
Pole sana duka la dawa amekupa dawa kwa kadri ulivojieleza ILA amekupa dawa ya kikohozi goodmorning sio dawa ya tonselites (tonses) kama unadhani una sumbuliwa na tonses kanunue dawa inaitwa PEN-V hii ni dawa itakusaidia kwa haraka sana. POLE SANA.
Yeye ndio alio niambia nina tonses mkuu Nashukur kwa ushauri
 
Good morning sio ant biotics
Wewe unatakiwa kupata strong ant biotics
Zitakusaidia sana
 


Nimewasikiliza nanimezianza leo wakuu Nawashukur
 
Nurse sio Dr ....siku nyngine ukiumwa nenda Dr akuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…