Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 329
- 413
Hii inauzwaje mkuuShiiiii REVLON
alikuwa anatumia MY MOM
na sasa anatumia MY WIFE
aishi HUMO hatojutiaView attachment 2478694
Nikweli kiongozi inaharufu kali sanJamani tupo 2023 bado tu kuna watu wanatumia hii kitu [emoji23][emoji23] hii mafuta ilikuwa inatamba miaka kumi imepita hiyo harufu sasa changanya na maji yake [emoji23][emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1] kipakoo!Hiyo tunaita kipako
Kiongozi njoo nikuuzie mafuta mazuri babe wako atunze ngozi
Anachokitafuta hapo atakipata hautamtamani hata
Sawa mkuuAchana nayo yana viambata sumu vilivyopigwa marufuku na tbs
Jamani tupo 2023 bado tu kuna watu wanatumia hii kitu [emoji23][emoji23] hii mafuta ilikuwa inatamba miaka kumi imepita hiyo harufu sasa changanya na maji yake [emoji23][emoji23]
Shiiiii REVLON
alikuwa anatumia MY MOM
na sasa anatumia MY WIFE
aishi HUMO hatojutiaView attachment 2478694
Na ile sabuni ya jaribu nyeusi tii 😂😂Sio kumi mi nimetumia miaka ya 2003 uko olevel [emoji28]
Mkifika mijini basi kila mtu anajifanya mjanja kumbe ni wa kuja .
Hiyo top lemon mnayosema ya kitambo iko katika bei za mkimbizano hapa mbeya sababu inachukuliwa Zambia inavushwa inaletwa hapa .
Sasa ulimbukeni wenu ndiyo kila mtu anasema ni ya zamani mara yanaharibu watu swali ni je why yawe mengi mikoani ? Je watumiaji hawajui ni ya zamani ?
Punguzeni ushamba kitu hakiwi kibaya kisa tu ni cha zamani hapana ila ikiwa hakikidhi mahitaji .
Ndugu mtoa mada pole na kelele za malimbukeni ila nikujuze kuwa ni nzuri ila jaribu kutumia namba 5 na namba 4 hizo zingine zinawahitaji watu wa rangi ya chocolate tu ila sio mweusi au mweupe .
ww ndio mshamba na limbukeni sit unampa ukweli sasa ashajuzwa yanaharibu ww jifanye kumuambia sijui atumie namba mbili sijui tatu achubuke kama Kenge, Kwan kuwa kila kona mbeya ndo nn tunamwambia ukweli ww unatuita malimbukeni mbona umepaniki?? Ww mwenyewe upo nje ya mada kwaiyo kama yapo mbeya kila kona sisi tufanyajeMkifika mijini basi kila mtu anajifanya mjanja kumbe ni wa kuja .
Hiyo top lemon mnayosema ya kitambo iko katika bei za mkimbizano hapa mbeya sababu inachukuliwa Zambia inavushwa inaletwa hapa .
Sasa ulimbukeni wenu ndiyo kila mtu anasema ni ya zamani mara yanaharibu watu swali ni je why yawe mengi mikoani ? Je watumiaji hawajui ni ya zamani ?
Punguzeni ushamba kitu hakiwi kibaya kisa tu ni cha zamani hapana ila ikiwa hakikidhi mahitaji .
Ndugu mtoa mada pole na kelele za malimbukeni ila nikujuze kuwa ni nzuri ila jaribu kutumia namba 5 na namba 4 hizo zingine zinawahitaji watu wa rangi ya chocolate tu ila sio mweusi au mweupe .
Thanks.
Mkifika mijini basi kila mtu anajifanya mjanja kumbe ni wa kuja .
Hiyo top lemon mnayosema ya kitambo iko katika bei za mkimbizano hapa mbeya sababu inachukuliwa Zambia inavushwa inaletwa hapa .
Sasa ulimbukeni wenu ndiyo kila mtu anasema ni ya zamani mara yanaharibu watu swali ni je why yawe mengi mikoani ? Je watumiaji hawajui ni ya zamani ?
Punguzeni ushamba kitu hakiwi kibaya kisa tu ni cha zamani hapana ila ikiwa hakikidhi mahitaji .
Ndugu mtoa mada pole na kelele za malimbukeni ila nikujuze kuwa ni nzuri ila jaribu kutumia namba 5 na namba 4 hizo zingine zinawahitaji watu wa rangi ya chocolate tu ila sio mweusi
Nisome vizuri bwana mdogoKwan ni uongo?? Yanaharibu ndio yapo mitaani sababu ni bei chee
ww ndio mshamba na limbukeni sit unampa ukweli sasa ashajuzwa yanaharibu ww jifanye kumuambia sijui atumie namba mbili sijui tatu achubuke kama Kenge, Kwan kuwa kila kona mbeya ndo nn tunamwambia ukweli ww unatuita malimbukeni mbona umepaniki?? Ww mwenyewe upo nje ya mada kwaiyo kama yapo mbeya kila kona sisi tufanyaje