Wakuu Salam,
Moja kwa moja kwenye mada tajwa, naomba uzoefu wenu wa aina hii ya gari "urban cruiser"
Kuna ambayo ni manual yanatumia diesel na kuna Auto yanayotumia petrol [emoji618] japo zipo chache kwenye site za magari ya japan ( befoward, Sbt..etc) je ni gari ya kuaminika?
Nina fikiria kulimiliki kwa siku za karibuni , ama yana changamoto kubwa ukiacha airbag ambayo imeonekana ndo mapungufu ya hizi gari.
Sijawahi kuiona ila kwakua inatumia family name ya IST basi itakua ni gari nzuri kwa trip za town, yani inatumia wese viziri engine ndogo, lakini hapo umesacrifice nafasi kubwa na performance related feutures za magari..(economical)