Je, Traffic police wana haki kukamata gari kwa kuchelewa kulipa fine?

Songuo

Member
Joined
Sep 28, 2012
Posts
9
Reaction score
1
Je, Traffic police wana haki kukamata gari kwa kuchelewa kulipa fine iliyotokana na kosa la barabarani?
Je, hiyo ni kazi ya traffic poice au ya TRA?

Naomba na reference tafadhali ikiwezekana!
 
hakuna muelekeo wala muongozo kila kitu ni mihemko tu tupambane tu hakuna wa kumsaidia raia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…