Je, Trump kaanza kupata kiwewe dhidi ya mwanamama Kamala ?

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Kuelekea uchaguzi wa marekani, Donald Trump aanza propaganda za ukomunisti dhidi ya Kamala Harris.

Kama unavyojua marekani na ukomunisti ni paka na panya.

Je, Trump anatumia kete ya ukomunisti mitandaoni kumuondolea imani Kamala kwa wamarekani ? Au vijembe tu vya kisiasa ?
 
As long as mpinzani ni Demu basi hiyo match imekwisha 3 bila, hii ni USA sio kitongoji flan wala kiti maalum cha CCM.
 
Fattilia Kwa Nini kamuita mkomunisti. Hata CNN wamegomea sera mpya ya uchumi ya Kamala
 
Trumpy so desperate 😀🤦🏾‍♂️
 
Fattilia Kwa Nini kamuita mkomunisti. Hata CNN wamegomea sera mpya ya uchumi ya Kamala
Hawezi kuwa mkomunisti, wakomunisti ni watu wengine kabisa na wenye misimamo mingine kabisa ambayo sijaiona kwa Kamala au mmarekani yoyote mpaka sasa.
 
Trump ana miaka 78 ambayo zaidi ya umri wa Nyerere wakati anafariki. Lakini ana akili ya kitoto sana utadhani mtoto wa Form 2 anayeishi bweni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…