Augustine Aloyce
Member
- Oct 8, 2018
- 34
- 25
Kweli bado tunasafari ndefu Tz πππWw ndio hutaki kufungua fikra. Hizo ajira wanaomba hadi watu waliojiajiri. Watu wanaopambana mitaani.
Na hapo huenda wana watu wao πJe, Tuendelee kuamini kuwa future zetu zimebebwa na misingi wa Ajira??
Na hatutakiwi kuamini katika kufungua fahamu zetu juu ya kujifunza na kubadili mwelekeo??
View attachment 3268293