Kwa maelezo na tafiti zilizopo, bado wataalamu wanasigana kwenye ubora dhidi ya ubaya wa mafuta yapatikanayo kwenye nazi.
Hili linalenga zaidi kwenye:
1: Nazi kuwa na uwezo wa kuongeza mafuta mabaya(LDL).
2: Nazi kuwa na viinirishe vinavyoukina moyo thidi ya magonjwa/cardio-protective.
3: Nazi kuwa na manufaa ya mafuta mazuri/yanayohitajila mwilini(HDL).
4: Nazi kuweza kusaidia mpangilio mzuri wa mafuta husika.
Ushauri:
1: Kama unaweza kupata mafuta ya alizeti au olive ni bota zaidi.
2: Kama ndio mafuta pekee unaweka kupata ulipo, basi tumia kwa kiasi kidogo (wastani mdogo sana).