Je, tukemee udini, ukanda na ukabila au? Je, neno Sukuma Gang si neno la kibaguzi? Mnaonaje tukiungana kukemea ubaguzi wowote kwa jina lolote?

Naunga mkono hoja.....tukemee kila aina ya ubaguzi wenye nia ovu.
 
Kimei bila shaka. Kuna jamaa mwingine aliigeuza NSSF kuwa kitengo cha dini. Nasikia ni Balozi hivi sasa. Sijui naye atarudishwa kitengoni kwake kama alivyorudishwa Mchechu pale NHC!?
Mchechu ambaye ni kichwa kubwa aliondolewa NHC kwa chuki ya wakaskazi iliyofanywa na magu na watu wake. Watu hawa bado wanaogopwa kwa kasi yao.
 
Inaonyesha wewe nae ni mzanzibari ndio maana unatetea huo ushoga kwa kusema et una athari kwa wanaofanya tu, mnaanza kulawitiana tokea udogoni na hizo kesi mnazimaliza tu nyumbani kuficha aibu na matokeo yake ndio maana mnatengeneza jamii kubwa ya mashoga hadi jeshini msipoangaliwa mtatuletea Rais punga siku moja.
 
Muasisi wa hilo genge ndiyo aliyekua Msukuma One, tulieni dawa iwaingie, of cause with time, hii sentiment itaisha
Hakuna cha kuisha hapo ubaguzi wa waziwazi ndio umeanza sasa unaishaje? Huyo Magufuli hakuwai kuanzisha kundi lenye kuitwa sukuma gang.
 
Paskali,
Naomba unifahamishe ikiwa unafahamu.
Tatizo la udini limeanza lini Tanganyika?

Watu gani walioanzisha udini?
 
Naunga mkono hoja! Bora waitwe walinda legacy!!!
 
Wachagga wameonewa na kunyanyaswa sana tangu kabla ya uhuru na ndio maana Mangi Marealle II alishaomba uhuru kwa ajili ya Chaggaland akapewa semi autonomy ila Nyerere alimfitini kwa Malkia Elizabeth II, mwaka 1958.
Ni sawa sawa na kusema Wabaganda walionewa na Obotte huko Uganda. Mfalme Kabaka wa Uganda naye alipewa mamlaka ya utawala wa ndani kwa sababu Uingereza iliafiki na kufurahia namna alivyokuwa anatawala lakini siyo kujitenga na Taifa la Uganda. Halikadhalika kwa Marealle alipewa utawala wa ndani siyo kwa sababu wachaga walinyanyaswa bali mfumo wake wa kutawala kukubalika na Uingereza lakini siyo kweli kuwa Uingereza ilitaka kuipa dola chagaland.
 
Wachaga kaeni mkijua hata ninyi hizo nafasi nyeti hamtapewa.mnaruka humu Kama popcorn as if mmekabidhiwa wizara nyeti.
Kumbe asali ya kijiko tu.
 
Kwa dhana halisi ya ubaguzi wachaga ni nambari one hapa Tanzania na wasingedhibitiwa katika nafasi za kisiasa ungekuwa balaa nchi hii. Kinachofurahisha hivi sasa ni kuwa wameoa na kuolewa karibu na makabila yote hapa nchini hivyo kusawazisha kwa kiasi fulani ubaguzi wao.
 
Mosi Magufuli hakuwa msukuma alijibanza katika usukuma labda uniambie kama Burundi kuna wasukuma siku hizi.

Pili ,kuhusu ukanda ,ukabila ,undungu katika serikali yake ulishamiri mfano mdogo tu ni je mpwa wake alistahili kushika nafasi ile pale hazina na hakukuwepo na watu senior zaidi yake ?

Tatu je Magufuli alipokuwa anasema wakichagua watu wasio wa CCM hatoleta hata maji rejea walichoambiwa watu wa Tunduma .

Nne , je Magufuli alipokuwa akiita raia wa kigeni na waliokuwa wakipingana na mambo yake majina kama "mabeberu " na "vibaraka wa mabeberu" bila ushahidi usiotia shaka mbona hamkuonekana kuumizwa.?

Tano, Magufuli alisema wafungwa wafanyishwe kazi usiku na mchana wanaonyesha kuchoka wapigwe mateke na wafanyishwe kwa lazima je hii haiko kinyume na haki za binadamu na watu waliishia kupiga makofi ya pongezi .

Mkizungumza chuki na mgawanyiko mkubwa ulioletwa na awamu yake basi msisahau kufanya rejea ya matendo na kauli zake zilizoleta migawanyiko.
 
Lakini si kafungisha team akaja kusaidia kusawazisha bao?
 
Nyerere aliufuta ukabila baada ya kuwaondoa machief uongozini !! Sasa hivi hakuna Ukabila bali umebaki undugunaizesheni !!
 
Kaka Paskali, Mimi naona sio ubaguzi wala ukabila kuwaita Sukuma Gang..

Kwanza Gang, ni neno la kumaanisha kundi la watu wahalifu, wahuni, wasio na ustaarab, wasio fuata taratibu, wauaji, wezi, majambazi.. yaani "organized group of criminals"

Sukuma Gang, maana yake ni group of Sukuma Criminals, killers, thieves, robbers, yaani watu wahalifu kabisa, kwa matukio yalikuwa awamu ya 5, hilo neno la Sukuma Gang ni sawa kabisa, tena tungeita Sukuma killers kabisa, wala hakuna ukabila wala ubaguzi, sababu matukio yalisababisha jina kutokea, ukiwa na matukio mabaya unataka tukuite Sukuma Saints kweli?

Hivyo, Sukuma Gang it was real, group of Criminals, killers, thieves, robbers na wote group lilikuwa na wasukuma tupu, so, that is a very correct name, to me, tungeita hata Sukuma Killers, iwe direct kabisa..

Kaka Paskali, watanzania waliumia sana na wengi kupoteza maisha, hadi leo watanzania wanalia sana, Mh. Rais Samia anawafuta machozi, anajaribu kufuta maumivu na mateso watu walipata kutokana na Sukuma Gang..!!

Hivyo, tuache hilo jina liendelee kabisa, watanzania hatukuwa na tamaduni za kuteswa, kuuliwa au kuny'ang'anywa mali na fedha halali za wafanya biashara watanzania wenzetu, watanzania kutekwa, kuteswa, kupotezwa, kuuawa, viroba kibao vya watu ufukwe wa Dar, this was dictatorship kabisa..!!

Mama Samia, Rais wetu, mtanzania mwenzetu, mwenye utu na ubinadamu wa kitanzania anajitahidi sana kufuta machozi, machungu, maumivu, mateso na kuwapooza watanzania walioumia vibaya sbb ya Sukuma Gang..

Tanzania ilifikia pabaya, sisemi zaidi, ila Mungu ni Mungu Mkuu, awezaye yote na ndio mwenye maamuzi yote, Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Mama yetu, Samia Suluhu Hassan, huyu ni Mama na Rais, tunaanza Mama sbb Mama ndio kubwa sana, kuonyesha upendo wake kwa Watanzania, Mungu mlinde sana Mama huyu, Samia, Amen🙏🙏🙏
 
Mzee mm sio Mzanzibar, mm nimechangaya HAYA + MAKONDE
 
Wachaga kaeni mkijua hata ninyi hizo nafasi nyeti hamtapewa.mnaruka humu Kama popcorn as if mmekabidhiwa wizara nyeti.
Kumbe asali ya kijiko tu.
Wana ndoto ya kuongoza hii Nchi siku moja.Wasilolijua walishaondolewa kwenye mfumo na haitokaa itokee tena wakashika nafasi nyeti kama walivyokuwa wamezoea miaka mingi.Kwa sasa hasira zao zote wameelekeza kwa Wasukuma na kuanzisha vita vya maneno visivyokuwa na kichwa wala miguu.Waendelee tu kusikilizia M/Kiti wao anaendelea kubugia asali mpaka hawezi funua mdomo kuongea chichote.
 

Mtu mweusi: wewe ni kima
Mzungu: hahaaaa

Mzungu: wewe ni Kima
Mtu mweusi: ayaaa huu ni ubaguzi, nyie watu weupe ni wabaguzi sana 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…