Je, tulikuwa tunangojea twende Kwake Geita ili tuonyeshe Mapenzi yetu ya Kinafiki kwa Wamachinga aliokuwa akiwapenda na kuwajali?

Je, tulikuwa tunangojea twende Kwake Geita ili tuonyeshe Mapenzi yetu ya Kinafiki kwa Wamachinga aliokuwa akiwapenda na kuwajali?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na ni Matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa hata pale tulipoenda Kuzuru Kaburi lake tulimuomba Msamaha kwa Kuharibu karibia 75% ya Mambo ya Msingi ( hasa ya Kimiradi ) aliyokuwa anaitekeleza huku hadi sasa 90% imesimama baada ya kuruhusu Kukumbatiwa na Mafisadi na Mafia wa 2005 hadi 2015.

Hongera kwa Kuwawahi Wamachinga na kuonyesha Kwako kuwa Unawajali, ila tunao Kaa nao 24/7 labda tukupe tu Ukweli ambao ama huambiwi au unafichwa na Wanaokuzunguka kuwa hawakupendi na kuna walichokiahidi kukifanya ili Kukuthibitishia Mwezi Oktoba 2025 katika Chumba cha Peke yako huku Karatasi ikikutizama, Kalamu ikiwa Mkononi na Uso ukiwa umejaa Usununu ( Hasira ) tupu tu.

Cc: Bila bila, Daudi Mchambuzi, adriz, Tate Mkuu etc
 
Na ni Matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa hata pale tulipoenda Kuzuru Kaburi lake tulimuomba Msamaha kwa Kuharibu karibia 75% ya Mambo ya Msingi ( hasa ya Kimiradi ) aliyokuwa anaitekeleza huku hadi sasa 90% imesimama baada ya kuruhusu Kukumbatiwa na Mafisadi na Mafia wa 2005 hadi 2015.

Hongera kwa Kuwawahi Wamachinga na kuonyesha Kwako kuwa Unawajali, ila tunao Kaa nao 24/7 labda tukupe tu Ukweli ambao ama huambiwi au unafichwa na Wanaokuzunguka kuwa hawakupendi na kuna walichokiahidi kukifanya ili Kukuthibitishia Mwezi Oktoba 2025 katika Chumba cha Peke yako huku Karatasi ikikutizama, Kalamu ikiwa Mkononi na Uso ukiwa umejaa Usununu ( Hasira ) tupu tu.

Cc: Bila bila, Daudi Mchambuzi, adriz, Tate Mkuu etc
Halafu wewe jamaa una viashiria vyote vya Ugenius! Kwenye mambo ya siasa na uchumi uko talented sana! Yaani wewe ni 🔥🔥

Dah! Sema tu ukija kule kwenye jukwaa la michezo, una swaga kama za yule Bin Kazumari! ☹️
 
Back
Top Bottom