Uchaguzi 2020 Je, tunaafiki hili suala la kutokupiga kura? Lilitolewa na mgombea wa CHADEMA?

Ujinga huo tumeushuhudia sana kipindi cha miaka mitano ya Magufuli kwenye chaguzi za marudio.
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana mikutsno ya Lissu lakini sijasikia akihimiza wafuasi wake waipige kura. Kinyume chake amewatska wajitokeze kwa wingi ili udhindi uwe wa kimbunga.
 
Lissu iko shida kwa kichwa [emoji3]
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana mikutsno ya Lissu lakini sijasikia akihimiza wafuasi wake waipige kura. Kinyume chake amewatska wajitokeze kwa wingi ili udhindi uwe wa kimbunga.
 
Kama mawakala wako hawataapishwa kwa mambo ya ki.....nge ya nini wanachama wako wakapige kura wakati kwenye chumba watabakia CCM?
Atakaye enda kuilinda kura yako ni nani?.

NAUNGA MKONO HOJA KAMA AMEPATA MAONO HAYO
 
Lissu keshashindwa sasa anaanza visingizio kuficha aibu.
#JPM miaka dala mingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…