MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Amani iwe nanyi wana JF
Tukiwa katika kipindi cha kwaresma kwa sisi wakristo na ramadhani kwa wenzentu waislamu. Ni vyema kukita tafakari zetu kwenye mambo yenye upako.
Hakika mwenye-enzi Mngu ni mwema siku zote, yeye ndiye autujaliae uhai na afya njema kwa wale awapendao na pia anayejua hatma zetu. Aidha, yeye ndiye mwenye kugawa riziki kubwa na ndogo kwa wale awapendao.
Kimsingi, Mungu anajua yale tunayostahili na kila mtu amepewa kile anachostahili. Sisi wakristu tunasema kazi ya Mungu haina makosa. Na hata tukipoteza wapendwa wetu tunasema, bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe.
Lakini maisha yetu wanadamu yamejaa changamoto nyingi, nyingine za kujitakia na nyingine za kiasili. Utatuzi wa changamoto hizi, wakati mwingine, huwa ni mgumu au beyond ordinary human capacity (earthquakes, pandemics kama Covid 19, cancer, etc )
Je katika kutatua matatizo yetu wanadamu tunahitaji divine intervention and miracles au we need to stretch our brains a little bit more than before?
Tangu kuanza kwa ulimwengu, wanadamu wametumia akili kusuluhisha matatizo yao japo vitabu vya dini vina visa ambavyo Mungu aliingilia, ila sehemu kubwa imefanywa na wanadamu wenyewe
Sasa ni ipi nafasi ya wachungaji, maaskofu, mitume na manabii ambao wanatuambia wana weza kusuluhisha matatizo yetu kwa kutumia maji, mafuta, vitambaa, kufokafoka na pengine sala na dua.?
Je divine intervention and miracles are reliable methods of solving human problems? Tuendelee kumuomba Mungu atujlie hekima na busara ya kutafuta namna bora ya kusuluhisha matatizo yetu.
Tukiwa katika kipindi cha kwaresma kwa sisi wakristo na ramadhani kwa wenzentu waislamu. Ni vyema kukita tafakari zetu kwenye mambo yenye upako.
Hakika mwenye-enzi Mngu ni mwema siku zote, yeye ndiye autujaliae uhai na afya njema kwa wale awapendao na pia anayejua hatma zetu. Aidha, yeye ndiye mwenye kugawa riziki kubwa na ndogo kwa wale awapendao.
Kimsingi, Mungu anajua yale tunayostahili na kila mtu amepewa kile anachostahili. Sisi wakristu tunasema kazi ya Mungu haina makosa. Na hata tukipoteza wapendwa wetu tunasema, bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe.
Lakini maisha yetu wanadamu yamejaa changamoto nyingi, nyingine za kujitakia na nyingine za kiasili. Utatuzi wa changamoto hizi, wakati mwingine, huwa ni mgumu au beyond ordinary human capacity (earthquakes, pandemics kama Covid 19, cancer, etc )
Je katika kutatua matatizo yetu wanadamu tunahitaji divine intervention and miracles au we need to stretch our brains a little bit more than before?
Tangu kuanza kwa ulimwengu, wanadamu wametumia akili kusuluhisha matatizo yao japo vitabu vya dini vina visa ambavyo Mungu aliingilia, ila sehemu kubwa imefanywa na wanadamu wenyewe
Sasa ni ipi nafasi ya wachungaji, maaskofu, mitume na manabii ambao wanatuambia wana weza kusuluhisha matatizo yetu kwa kutumia maji, mafuta, vitambaa, kufokafoka na pengine sala na dua.?
Je divine intervention and miracles are reliable methods of solving human problems? Tuendelee kumuomba Mungu atujlie hekima na busara ya kutafuta namna bora ya kusuluhisha matatizo yetu.