Je, tunaweza kutumia cheti kimoja cha kifo kuombea mkopo?

Je, tunaweza kutumia cheti kimoja cha kifo kuombea mkopo?

KIBEBENYEKE

New Member
Joined
Jun 22, 2021
Posts
4
Reaction score
2
Baba mlezi amefariki ila sisi tupo wawili yaani mimi na mwanaye wa kumzaa; wote tunaomba mkopo wa elimu ya juu.

Je, sote tunaweza kutumia cheti kimoja cha kifo kuombea mkopo?
 
Sioni tatizo lakini itabidi kuwe na ushahidi kwamba huyo alikuwa baba yako mlezi.
 
Back
Top Bottom