KIBEBENYEKE
New Member
- Jun 22, 2021
- 4
- 2
Baba mlezi amefariki ila sisi tupo wawili yaani mimi na mwanaye wa kumzaa; wote tunaomba mkopo wa elimu ya juu.
Je, sote tunaweza kutumia cheti kimoja cha kifo kuombea mkopo?
Je, sote tunaweza kutumia cheti kimoja cha kifo kuombea mkopo?