Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Nimewaza hapa na hizi quarantine. Corona inaweza kuwa imekuja kutufungua macho. Nchi kama Tanzania asilikia kama 5 ya watu wote wan UKIMWI. Mkoa kama Njombe 14% ya watu wan UKIMWI. Ukiona watu mia moja Njombe jua kuwa 14 wana upungufu wa Kinga Mwilini. Hii ni ishu kubwa sana ukizingatia kuwa mortality rate ya HIV/AIDS ni 100% wakati ile ya Corona ni kama 3%.
Wakati UKIMWI unaingia kulikuwa na kampeni kubwa sana dhidi ya unyanyapaa. Naanza kuhisi kampeni ile ilikuwa kutuzuia tusiwaze kuwekana karantini. Ingeonekana tunafanya unyanyapaa mkubwa sana. Lakini hapo hapo mtu wa Kipindupindu, TB, ukoma, na Corona akitengwa ni sahihi tu.
Hivi tungefanya quarantine dhidi ya UKIMWI tungeweza kuudhibiti? Tukifanya sasa quarantine ya wagonjwa wa UKIMWI tunaweza kuudhibiti?
Wakati UKIMWI unaingia kulikuwa na kampeni kubwa sana dhidi ya unyanyapaa. Naanza kuhisi kampeni ile ilikuwa kutuzuia tusiwaze kuwekana karantini. Ingeonekana tunafanya unyanyapaa mkubwa sana. Lakini hapo hapo mtu wa Kipindupindu, TB, ukoma, na Corona akitengwa ni sahihi tu.
Hivi tungefanya quarantine dhidi ya UKIMWI tungeweza kuudhibiti? Tukifanya sasa quarantine ya wagonjwa wa UKIMWI tunaweza kuudhibiti?