Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Ningehakikisha ninabadili katiba ya OVYO ya Tanzania.
2. Kuondoa wabunge wote wanaokuja kwa dezo. Badala yake kuchagua wabunge wale tu waliobobea kwenye sheria kama akina Shivji.
3. Kuongeza Madaraka ya Waziri mkuu kwa yeye kuunda baraza lake la Mawaziri na si Rais. Hii itasaidia kunipunguzia mzigo wa majukumu na Mawaziri kuwa controlled fully na PM. Mawaziri wawe na heshima kwa PM na si kama sasa, wote wamechaguliwa na Rais (Hata Mataka wa ATCL) sasa utambabaisha nini?
4. Kuupa nguvu USALAMA WA TAIFA na kuupa majukumu zaidi.
5. Kuunda Mahakama ya KATIBA (Tribunal Constitution).
6. Kuongeza marupurupu ya Rais Mstaafu, ila hapohapo kuweka katika katiba kuwa Rais MWIZI basi ashitakiwe kwa wizi wake.
7. Watoto wote wa Mawaziri, wabunge, na vigogo wote wanaoishi kwa nguvu ya kodi za watu, NI MARUFUKU kusoma shule za binafsi ila za serikali. Tutaona kama shule za serikali zitaendelea kuwa mbaya.
8. Kutibiwa ni Rais na PM na mawaziri tu ndiyo waende nje ya nchi. Wengine hawa wanakuwa kwenye msururu unaoongozwa kwa computer.
9. Kuhakikisha Tanzania kwa miaka 40 ijayo, haitakuwa na shida ya UMEME.
10. Kurudisha NYUMBA ZOTE ZA SERIKALI na kuziuza upya kwa mnada kama itaonekana inabidi ziuzwe.
11. Kuipa nguvu Mahakama na wanasheria ili wezi wote wa mali ya UMA, bila ya kujali mwaka, basi wafike sehemu inayostahili. Kama wataweza kurudisha mali walizotuibia basi waachiwe ila milele wasishike post yoyote ya UMA. JKT zote ziwe jela ya makosa mepesi na huko, kifanyike kilimo/ufugaji wa kisasa na hawa jamaa walishe Tanzania nzima.
2. Kuondoa wabunge wote wanaokuja kwa dezo. Badala yake kuchagua wabunge wale tu waliobobea kwenye sheria kama akina Shivji.
Hapa yaonesha Rais atakuwa mbaguzi wa Haki za binadamu...
Sikonge: Mbona point 7 na 8 zina ji-contradict?
Pia sioni sera za Elimu, Afya, Uchumi, Ajira, Miuondombinu... in no particular order. Lakini bila hizi you are setting yourself up for failiure, na isitoshe kupopolewa na wananchi watakao kuchoka hata kabla ya siku 100 za kwanza.
Hapa yaonesha Rais atakuwa mbaguzi wa Haki za binadamu...
Sikonge: ulisema I quote "8. Kutibiwa ni Rais na PM na mawaziri tu ndiyo waende nje ya nchi. Wengine hawa wanakuwa kwenye msururu unaoongozwa kwa computer."
Sasa kama utaweka kuzuizi cha watoto wa viongozi wa serekali kusomeshwa shule za serekali ( point 7) malengo yakiwa kuboresha sekta ya elimu na hasa shule za serekali, je haoni ni sawa kama ukaweka kizuizi cha matibabu nje ya nchi kwa kila mtu.. including you The President? Hivi utaona hayo maendeleo unayoyasema.
Please check point 8 again.
1. Ningehakikisha ninabadili katiba ya OVYO ya Tanzania.
2. Kuondoa wabunge wote wanaokuja kwa dezo. Badala yake kuchagua wabunge wale tu waliobobea kwenye sheria kama akina Shivji.
3. Kuongeza Madaraka ya Waziri mkuu kwa yeye kuunda baraza lake la Mawaziri na si Rais. Hii itasaidia kunipunguzia mzigo wa majukumu na Mawaziri kuwa controlled fully na PM. Mawaziri wawe na heshima kwa PM na si kama sasa, wote wamechaguliwa na Rais (Hata Mataka wa ATCL) sasa utambabaisha nini?
4. Kuupa nguvu USALAMA WA TAIFA na kuupa majukumu zaidi.
5. Kuunda Mahakama ya KATIBA (Tribunal Constitution).
6. Kuongeza marupurupu ya Rais Mstaafu, ila hapohapo kuweka katika katiba kuwa Rais MWIZI basi ashitakiwe kwa wizi wake.
7. Watoto wote wa Mawaziri, wabunge, na vigogo wote wanaoishi kwa nguvu ya kodi za watu, NI MARUFUKU kusoma shule za binafsi ila za serikali. Tutaona kama shule za serikali zitaendelea kuwa mbaya.
8. Kutibiwa ni Rais na PM na mawaziri tu ndiyo waende nje ya nchi. Wengine hawa wanakuwa kwenye msururu unaoongozwa kwa computer.
9. Kuhakikisha Tanzania kwa miaka 40 ijayo, haitakuwa na shida ya UMEME.
10. Kurudisha NYUMBA ZOTE ZA SERIKALI na kuziuza upya kwa mnada kama itaonekana inabidi ziuzwe.
11. Kuipa nguvu Mahakama na wanasheria ili wezi wote wa mali ya UMA, bila ya kujali mwaka, basi wafike sehemu inayostahili. Kama wataweza kurudisha mali walizotuibia basi waachiwe ila milele wasishike post yoyote ya UMA. JKT zote ziwe jela ya makosa mepesi na huko, kifanyike kilimo/ufugaji wa kisasa na hawa jamaa walishe Tanzania nzima.
Heri niwe MVUNJAJI wa HAKI ZA BINADAMU, ila Watanzania wangu wawe na Maisha mazuri.