Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Ndugu wapendwa Sikukuu za kidini na Sikukuu nyingine zinazopendwa na watu wengi ambazo husheherekeawa sehemu nyingi za walimwengu Leo,hazikutokana na Biblia.Basi, Sikukuu hizo zilianzia wapi?Fikiria mifano michache:
✓Ista;"katika agano jipya hakuna lolote linaloonyesha kwamba ista ilisherekewa",yasema The Encyclopedia Britannica.Ista ilianzaje?ilitokana na ibada ya kipagani .Ingawa inasemekana kwamba Sikukuu hiyo ni ukumbusho wa kufufuka kwa Yesu,desturi zinazohusiana na Sikukuu ya Ista si za kikirsto.Kwa mfano The Catholic Encyclopedia inasema hivi kuhusu Yule "sungura wa Ista" :Sungura huyo ni mfano wa kipagani na sikuzote huwakilisha nguvu za uzazi.
✓Sherehe za mwaka mpya;Tarehe na desturi zinazohusiana na sherehe za mwaka mpya hutofautiana katika nchi mbalimbali.Kuhusu chanzo cha SIKUKUU hiyo,The world book Encyclopedia inasema:"Mtawala mroma Kaisari Yulio aliteua januari 1kuwa Sikukuu ya mwaka mpya katika mwaka wa 46 k.w.k.Waroma walitenga siku hiyo kwa ajiri ya Yanu, mungu wa malango,milango na mianzo.Mwezi Januari ulipata jina lake kutoka kwa Yanu ,aliyekuwa na nyuso mbili -------------kama ukiangaria mbele na mwingine ukiangaria nyuma ".kwa hiyo sherehe za mwaka mpya zinatokana na mapokeo ya kipagani.
✓Mkesha wa Sikukuu za watakatifu wote("Halloween").The Encyclopedia Americana inasema:"Desturi fulani---fulani zinazohusiana na mkesha wa siku ya watakatifu wote zilizotokana na sherehe za kidini za kiselti za kabla ya enzi za ukristo.Waselti walikuwa na Sikukuu kwa ajiri ya miungu wawili wakuu----mungu just na mungu wa watu .......,ambaye Sikukuu yake ilikuwa Novemba 1,mwanzo mwa mwaka mpya wa kiselti.Pole kwa pole , Sikukuu hiyo ya wafu ikaingizwa katika desturi za kikristo.
✓Sikukuu nyingine; Sikukuu zinazohusiana na kuwatukuza wanadamu na mashirika ya kibinadamu hayampendezi Mungu.
✓Ista;"katika agano jipya hakuna lolote linaloonyesha kwamba ista ilisherekewa",yasema The Encyclopedia Britannica.Ista ilianzaje?ilitokana na ibada ya kipagani .Ingawa inasemekana kwamba Sikukuu hiyo ni ukumbusho wa kufufuka kwa Yesu,desturi zinazohusiana na Sikukuu ya Ista si za kikirsto.Kwa mfano The Catholic Encyclopedia inasema hivi kuhusu Yule "sungura wa Ista" :Sungura huyo ni mfano wa kipagani na sikuzote huwakilisha nguvu za uzazi.
✓Sherehe za mwaka mpya;Tarehe na desturi zinazohusiana na sherehe za mwaka mpya hutofautiana katika nchi mbalimbali.Kuhusu chanzo cha SIKUKUU hiyo,The world book Encyclopedia inasema:"Mtawala mroma Kaisari Yulio aliteua januari 1kuwa Sikukuu ya mwaka mpya katika mwaka wa 46 k.w.k.Waroma walitenga siku hiyo kwa ajiri ya Yanu, mungu wa malango,milango na mianzo.Mwezi Januari ulipata jina lake kutoka kwa Yanu ,aliyekuwa na nyuso mbili -------------kama ukiangaria mbele na mwingine ukiangaria nyuma ".kwa hiyo sherehe za mwaka mpya zinatokana na mapokeo ya kipagani.
✓Mkesha wa Sikukuu za watakatifu wote("Halloween").The Encyclopedia Americana inasema:"Desturi fulani---fulani zinazohusiana na mkesha wa siku ya watakatifu wote zilizotokana na sherehe za kidini za kiselti za kabla ya enzi za ukristo.Waselti walikuwa na Sikukuu kwa ajiri ya miungu wawili wakuu----mungu just na mungu wa watu .......,ambaye Sikukuu yake ilikuwa Novemba 1,mwanzo mwa mwaka mpya wa kiselti.Pole kwa pole , Sikukuu hiyo ya wafu ikaingizwa katika desturi za kikristo.
✓Sikukuu nyingine; Sikukuu zinazohusiana na kuwatukuza wanadamu na mashirika ya kibinadamu hayampendezi Mungu.