Katika ulimwengu wa sasa ni kuwa makini tu vijana...wakitoa takwimu za makanisani mtakimbia...za wilaya mtashangaa.....but walio wengi vyuoni wana mahusiano ya kawaida.....ila kuna wachache wanajiuza kabisa hasa UDSM...kuna hostel za kufoji survey na mlalakuwa wamegeuza guest usiku...unapigia humo humo....na hii imewafuata hata mademu walioko changanyikeni,golani,kibo na msewe....wengi wanagongwa na watu wa nje bora una pesa ya kumfanya apendeze mjini hapa....baadhi wanagawa kwa malecturers hasa CASS na UDBS.
kipipi, wanapenda nyama kwa nyama! ladha itatoka wapi? waache wafe!Kama kuna njia za kuuepuka........... kwa nini msipone??
kwani chuoni kwenu veta takwimu zinasemaje.!??
Kwani walisambazwa wangapi huko vyuoni?
Hivi unasema nini hapa? Kuna mtu anamwelewa anieleweshe?
nasikia 200 kila mwaka.
Tatizo vijana wamezidi kuendesha na rim tu,watajuta...
kupona mtapona kama mnajitunz na co kujifanya mafundi wa kubadilisha watoto wa kike na kiume,inawezekana, anza na wewe
Kuna wengine wachumba zetu wanasoma pale.
Katika ulimwengu wa sasa ni kuwa makini tu vijana...wakitoa takwimu za makanisani mtakimbia...za wilaya mtashangaa.....but walio wengi vyuoni wana mahusiano ya kawaida.....ila kuna wachache wanajiuza kabisa hasa UDSM...kuna hostel za kufoji survey na mlalakuwa wamegeuza guest usiku...unapigia humo humo....na hii imewafuata hata mademu walioko changanyikeni,golani,kibo na msewe....wengi wanagongwa na watu wa nje bora una pesa ya kumfanya apendeze mjini hapa....baadhi wanagawa kwa malecturers hasa CASS na UDBS.
tathmini ya wanachuo waishio na vvu kwa mwaka 2011 kwa vyuo hivi viwili imepanda kulinganisha na mwaka 2010 ambapo udsm ilikua 0.6%
sasa hebu ona hii;
udsm~2.3%
mzumbe~200+
kwa takwimu hii ambayo ni skeleton kwa namna flan ni kwamba elimu imewakomboa au imewapoteza?