Bunge liko Dodoma tayari kujadili kama sio kupitisha mapendekezo ya budget za wizara mbalimbali.
Kwa mwaka wa fedha 2021/2022 tuliona bunge likichukua mapendekezo ya Zungu kuweka tozo kwenye miamala ya simu ili kugharamia ujenzi wa zahanati, je mwaka huu wa fedha 2022/2023 tutegemee tozo nyingine kwenye miamala ya simu na bank ili kukabiliana na changamoto zilizoletwa na operation maalum isiyo na mwisho inayoendelea kule Ukraine?
Kwa mwaka wa fedha 2021/2022 tuliona bunge likichukua mapendekezo ya Zungu kuweka tozo kwenye miamala ya simu ili kugharamia ujenzi wa zahanati, je mwaka huu wa fedha 2022/2023 tutegemee tozo nyingine kwenye miamala ya simu na bank ili kukabiliana na changamoto zilizoletwa na operation maalum isiyo na mwisho inayoendelea kule Ukraine?