mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Naaaam! ni ukweli usiopingika kwamba , timu kutoka nje zinapokuja kucheza na simba katika mashindano ya CAF CL au CAF CC zimekuwa zikinufaika na mapokezi makubwa kutoka kwa Mashabiki wa Yanga wakati mwingine hata viongozi wao.
Aidha, timu hizo zimekuwa zikipewa mbinu mbalimbali na Mashabiki hao ili kuhakikisha zinapata ushindi mbele ya simba katika uwanja wa Mkapa.
Je, kutokana na ukarimu huo , tutegemee Yanga kupata mapokezi makubwa na mazuri ugenini watakapokwenda kucheza mechi zao huko ugenini kutokana na ukarimu ambao huwa wanazifanyia timu hizo?
Ikumbukwe , Yanga wako kwenye nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa NBC PL hivyo wanayo nafasi kubwa ya kushiriki mashindano hayo musimu wa 2022/2023.
Aidha, timu hizo zimekuwa zikipewa mbinu mbalimbali na Mashabiki hao ili kuhakikisha zinapata ushindi mbele ya simba katika uwanja wa Mkapa.
Je, kutokana na ukarimu huo , tutegemee Yanga kupata mapokezi makubwa na mazuri ugenini watakapokwenda kucheza mechi zao huko ugenini kutokana na ukarimu ambao huwa wanazifanyia timu hizo?
Ikumbukwe , Yanga wako kwenye nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa NBC PL hivyo wanayo nafasi kubwa ya kushiriki mashindano hayo musimu wa 2022/2023.