Je, Twiga ndio alama ya Tanzania (national animal) mbali ya bendera?

Je, Twiga ndio alama ya Tanzania (national animal) mbali ya bendera?

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Hili nalo neno ! Siku hizi kila nchi au baadhi ya nchi zimekuwa na ubunifu inawezekana a majority of the raia living in are unaware of what its national animal.

Nakumbuka kuna vazi la Taifa ingawa sioni kupewa kipau mbele. Zaidi ya twiga inaweza wakaongezeka au kuongezwa,aongezwe Kima Punju. Ni wazo tu.


23px-Flag_of_Tanzania.svg.png
Tanzania
GiraffeGiraffa camelopardalisGiraffe Mikumi National Park.jpg
 
Back
Top Bottom