Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Salam kwa wana jf wote wa jukwaa hili. Napenda kufahamishwa toka kwa wataalam wetu kuhusu ikiwa ugonjwa huu unaweza ambukizwa.
Pia ikiwa wana ndoa au mmoja wao akawa anaumwa UTI halafu akafanya tendo la ndoa na mwenzake anaweza mpatia. Kwa upate hasa wa wapenzi au wana ndoa,Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wote.
Pia ikiwa wana ndoa au mmoja wao akawa anaumwa UTI halafu akafanya tendo la ndoa na mwenzake anaweza mpatia. Kwa upate hasa wa wapenzi au wana ndoa,Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wote.