Je U.T. I inaweza sababisha upungufu wa nguvu za kiume

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4,664
Reaction score
9,929
Nauliza wataalamu je tatizo la mkojo kuwa mchafu sana linaweza pelekea misuri ya uume kutosisimka kama awali?
 
Ndiyo haswa tatizo likiwa sugu kumbuka sisi wanaume njia tunayotumia ni moja hiyo hiyo mkojo na wakati wa kutoa shahawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…