Am For Real
JF-Expert Member
- Nov 21, 2023
- 323
- 770
Bado hujasema [emoji16][emoji16][emoji16]Hivi zile slides ambazo walimu vyuoni wanakimbizana kumaliza Kwa haraka huku wanafunzi wakishindana kukariri (Kuzima moto) zina Ufanisi wowote au tunazidi dumaza elimu yetu?
Ndilo ninalolielewa hili.Elimu ya Afrika ni biashara.
Zimekusaidiaje ndugu?Ndio zinaufanisi mimi kama injinia zimenisaidia sana katika kazi zangu.
Kila kitu nachofanya kazini kina relate na nilivyosoma darasani.Zimekusaidiaje ndugu?