Je, ufaulu wa mwaka jana na mwaka huu umeweza kukuza kiwango cha elimu hapa tanzania

RAMSO HOLELA

Member
Joined
Sep 20, 2014
Posts
12
Reaction score
2
Katika mtihani wa mwaka 2o13 kiwango cha ufaulu kimekuwa tofauti ,ambapo ufaulu wa mwaka huu ni mkubwa sana mno
 
Katika mtihani wa mwaka 2o13 kiwango cha ufaulu kimekuwa tofauti ,ambapo ufaulu wa mwaka huu ni mkubwa sana mno

Kwani Dr. Kawambwa na Prof. JK wanasemaje huhusu hilo? Ukisoma sera mpya ya elimu na mafunzo inasema hapana, mpaka itakapoanza kutekelezwa!!!!!!
 
Kwanza nawashangaa wanapolinganisha ufaulu wa mwaka jana na ufaulu wa mwaka huu,wakati mwaka jana walitumia divisions,mwaka huu wametumia GPA,pia Alama za Mwenye A wa mwaka jana sio sawa na mwenye A wa mwaka huu,i mean madaraja yaliyotumika mwaka jana sio sawa na yaliyotumika mwaka huu,kwa nini wafananishe?Wasubiri kufananisha matokeo ya mwaka huu na mwaka ujao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…