Habari zenu wana JF,
Nimerudi tena kuomba ushauri wenu kwa sababu palipo na wengi hapaharibiki jambo.
Leo naomba waliowataalam wa ufugaji hasa ng'ombe wa kienyeji waniambi je, unalipa. Mimi kama kijana napenda sana kupambana huku na kule kuhakikisha maisha yanasonga. Nipo Arusha naomba msaada wenu