Je, ufundi wa pikipiki unalipa?

Wakuu naomba ushauri Kuna kijana wangu nataka kumpeleke kwenye ufundi wa pikipiki je unalipa?
 
Haulipi unless pesa ya mtaji iwepo afanye kwa ukubwa Zaid na uuzaji wa spare nje na hapo ni hela za supu tu
YAs, kuuza spare ndio itakayomlipa zaidi, hivyo akiwa na ufundi kufungafunga baadhi aaaah! Maisha anaendesha fresh tu
 
Wakuu Kuna kijana wangu nataka nimpeleke ajifunze ufundi wa pikipiki je unalipa?
Mwamba hamna kazi isiyolipa,ni wewe yu kuipenda kazi,kuweka juhudi na kuongeza maarifa kwenye kazi yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…